Jiulize suali dogo toka siku vita imeanza kwanini hadi leo Israel wameshindwa kuitawala Gaza? Israel hadi sasa anaongoza kwa kuangusha nyumba za raia na mahospitali hadi ambulance lakini ground war amechemka na sio Israel tu hata hao US wenyewe vita ya chini ni wote ni mwanamke tu hawawezi kitu, Angalia Russia pia alivyodunda KyvWaarabu wanaweza insurgency tu vita ya piga nikupige dakika kumi ni nyingi watachakazwa vibaya sana.Jiulize kwa nini hawasongi mstari wa mbele kuwakabili wayahudi feki?Wee mtu anaingia kwako umejificha kwenye handaki hutoki kupigana unasubiri raia wawe kinga yako?Acha kudanganywa kwenye vijiwe vya gahawa.Bila kutumia raia kama kinga hakun mwarabu anaweza pambana na mtu yeyote.Rejea Iraq na Afghan