BREAKING: A wave of Labour frontbenchers including Jess Phillips have resigned in order to back an SNP motion calling for a ceasefire in Gaza.
Kichapo kipo pale pale. Hamas ni monsters. Lazima wafukuliwe popote walipo.The technology:
- A school book bag (empty)
- CDs
- Laptop
Yup. That’s the proof of a command center.
😂
Mpalestina wa Mbagala MajimatituUhitaji elimu yeyote kujua ya kuwa hizo video ni propaganda za kuficha aibu ukizingatia amesha uwa watu wengi ndani ya hospital kwa visingizio vya hamas ina kambi zake sijui nn.
Walituambia kuwa hospital hiyo ndo makao makuu ya Comand ya Hamas hivi katika video hiyo kuna hata dalili ya kitu kama hicho?
Walituambia baadhi ya mateka na viongozi wa Hamas wako humo vipi mbona mpaka sasa hatujaona kitu kama hicho?
Kiufupi jeshi teule ni moja ya jeshi la hovyo kuwahi kutokea duniani?
Taratibu sasa, tiyari mmekubali Israel imeingia Gaza na hadi kufika hospitalini. Ni lini Hamas waliipiga Israel kuizuia isifanye operation? Na Israel ilirudi lini kiwashinda. Maana taarifa zenu humu huwa mnadai Hamas inapiga, Israel inaokota maiti za wanajeshi, Israel imezuiwa kuendelea, majenerali watano wa Israel wamefariki.Hamas wanapiga na kuondoka, ni Guerilla warfare, natumai wewe unajua vizuri tu ila unajitoa Hufahamu ukizungumzia mabwana zako.
Na kwenye Guerilla Warfare unashtukiza unapiga unasepa hubaki hapo hapo, walipigwa IDF wakati wanaenda Hio Hospitali ni kweli, na sasa IDF wapo Hospitali pia ni kweli, sasa sijajua drama gani unatengeneza hapa.
Umefurahia kweli😂Usitake kupoteza lengo ,mada hapa ni hospital ya Al shifa ndo makao makuu ya operation za hamas ndani ya gaza, viongozi wa Hamas akiwemo kamanda Mkuu yuko humo na vikosi vyetu vimemzunguka hana pakukimbilia,na baadhi ya mateka wako ndani ya hospital ,huo ndo umekuwa wimbo wa Israel na wafuasi wake humu jf.
Leo hospital inavamiwa wanakuja kutuonedha masnki ya vyoo na lift 😀😀😀😀 badala ya kutuonesha makamanda wa hamas walio kamatwa,baadhi ya mateka walio okolewa na chumba kikubwa chenye mitambo ya mawasiliano na maskirini makubwa.
Alafu mnatuambia eti Israel ina Interegensi labda ya mavi.
kama mambo ni hayo basi Israel kwisha kazi yake.kama ni sare za mgambo si ni kawaida hospitali kuwa mgambo wanaolinda usalama wa wagonjwa na amani katika eneo.Wanaukumbi.
Mwanzo tuliaminishwa kuwa Hospitali ya Al Shifa, kuwa ndiyo Makao Makuu ya Hamas wana maandaki chini ya hosptali wanajicha huko na kupanga mashambulizi pia wanatumia wagonjwa na raia kama kinga.
IDF wamevamia hospitali na na hii ndiyo taarifa yao.
"Wanajeshi walipata sare za Hamas "ambazo zilitupwa kwenye sakafu ya hospitali ili magaidi waweze kutoroka kwa sura ya kiraia.
Matokeo haya yanathibitisha bila shaka kwamba hospitali hiyo ilitumika kwa ugaidi, kinyume kabisa na sheria za kimataifa
Tuliingia kwenye operesheni huko Shifa wakati ambao ulikuwa sahihi kwetu kiutendaji na busara, na pia kwa kuzingatia uhamishaji wa hospitali - kulikuwa na watu wengi zaidi hapo awali na ingehatarisha vikosi vyetu. Hamas walitaka kupata picha za IDF ikiwadhuru raia na wagonjwa, na tulifanya operesheni iliyozingatia na ya hali ya juu baada ya kujiandaa kwa uangalifu mapema. Lazima uipe muda huu wa operesheni, bado kuna watu wengi huko, na lazima uidhibiti kwa kasi inayofaa"
🚨 JUST IN: IDF SPOKESMAN DANIEL HAGARI ON AL SHIFA HOSPITAL
"Troops found Hamas uniforms "that were thrown on the hospital floor so that the terrorists could escape in civilian guise
These findings unequivocally prove that the hospital was used for terror, in complete violation of international law
We entered the operation in Shifa at a time that was correct for us operationally and intelligence-wise, and also considering the evacuation of the hospital - there were many more people there before and it would have endangered our forces. Hamas wanted to obtain photos of the IDF harming civilians and the sick, and we did a focused and high-quality operation after careful preparation in advance. You have to give this operation time, there are still a lot of people there, and you have to manage it at the right pace"
Source: Times of Israel
👇🏽Wameweka huu ushahidi😂
View attachment 2814821
Wanazidi kupoteza kuaminika kwao.Hata wakija na hadithi zao nyengine watapuuzwa.Hawana CIA wala Mosad wote waongo tu na wanatumia papasi kubahatisha wanakokwenda kama jongoo na konokono.🚨JUST IN: BIDEN SAYS HAMAS HAS COMMAND CENTER UNDER AL SHIFA HOSPITAL
Reporter: "What kind of evidence the US has seen that Hamas has a command center under Al Shifa hospital?"
Biden: "I can't tell you, I won't tell you"
Reporter: "Do you feel confident based on what you know?"
Biden: "YES, yes..."
😂
Ww jamaa ni mnafiki alafu ni muongo hivyo vitu ndo vitakupeleka motoni.Punguza uongo, bado operation inaendelea. Na wamekufa wapiganaji 50 wa Hamas.
Super power wa kuuwa watoto na wanawake.Umefurahia kweli[emoji23]
Kieneo chenyewe hata kigamboni ni kubwa lakini mpaka sasa jeshi la watu zaidi ya laki tatu lenye kila aina ya silaha limeshindwa hata kuteka nusu yake tena dhidi ya wapiganaji wenye wasio miliki silaha zaidi ya bunduki na ant tank za kienyeji.Taratibu sasa, tiyari mmekubali Israel imeingia Gaza na hadi kufika hospitalini. Ni lini Hamas waliipiga Israel kuizuia isifanye operation? Na Israel ilirudi lini kiwashinda. Maana taarifa zenu humu huwa mnadai Hamas inapiga, Israel inaokota maiti za wanajeshi, Israel imezuiwa kuendelea, majenerali watano wa Israel wamefariki.
Ghafla mnalalamika Israel imevamia Al Shifa, baadae msemaji wa IDF kafika Al Shifa. Guess who is winning
Hizo silaha ni sindono? Au ni drip ? Hizo ni silaha za vita hazikutakiwa kuwepo hosp, hiyo ni ishara mojawapo hosp hiyo ilitumiwa na magaidi.Mapovu yaliwatoka sana humu kuna nyuzi zaidi ya nne zinasema AL SHIFA HOSPITAL ndiyo Makao Makuu yq Hamas
Mods huu uzi uachheni msije kuunganisha. Watu wanameza
Propaganda tu.
Una uhakika gani iwapo hizo silaha wamezileta wenyewe kwa ajili ya kufanya propaganda baada ya kukosa kile walicho kuwa wana kitaka?Hizo silaha ni sindono? Au ni drip ? Hizo ni silaha za vita hazikutakiwa kuwepo hosp, hiyo ni ishara mojawapo hosp hiyo ilitumiwa na magaidi.
Ushaihidi wa kwanza umeonekana ,bado watajulikana tu, Israel wameamua kuikalia Gaza,kila kitu kitajulikana tu.
Wanapiga na kuondoka kwenda wapi labda wajifiche kwenye kundi ra raia na Usichokijua ni kwamba ikitokea IDF wameshambuliwa basi uelekeo yalipotokea mashambulizi nyote mnaangamizwa haijalishi mmehusika au hamkuhusika inaitwa collective punishment maana inaonekana na nyinyi raia mnawaunga mkono Hamas.Hamas wanapiga na kuondoka, ni Guerilla warfare, natumai wewe unajua vizuri tu ila unajitoa Hufahamu ukizungumzia mabwana zako.
Na kwenye Guerilla Warfare unashtukiza unapiga unasepa hubaki hapo hapo, walipigwa IDF wakati wanaenda Hio Hospitali ni kweli, na sasa IDF wapo Hospitali pia ni kweli, sasa sijajua drama gani unatengeneza hapa.
Sawa wewe utastarehe sana na huyo Bwana wakohehehe na mtapigwa sana, mpaka sasa kama hamjatia akili kwa Myahudi bado kipigo kiko pale pale.
Sio mkenya ni mzaram wa kibiti mishe zake anapiga mbagalaKuna mkenya mmoja huyo anajiita MK254 kule kwao wanakufa na njaa ila humwambii kitu kuhusu magaidi ya Israeli.
Changing the narrativeTatizo watu wanashindwa kuelewa kwamba hiyo hospital inashutumiwa kutumika kama command center na hamas sasa ,wengi wanaopinga hili wanataka labda Israel ije na uthibitisho wa maroketi,mabomu,na zana mbalimbali lukuki za kivita kutoka hapo hospitali ili dai hili liwe kweli .Command centre ni Kama office zinazotumika kupanga ,kushauri Kutatibu na kutekeleza mashambulizi mbalimbali kwenda Israel.