Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Na magaidi ya ulimwengu yanajulikana ni Marekani, Israeli , Uingereza , Ufaransa na CCMGaidi mkuu pale Middle East anajulikana ni Iran.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na magaidi ya ulimwengu yanajulikana ni Marekani, Israeli , Uingereza , Ufaransa na CCMGaidi mkuu pale Middle East anajulikana ni Iran.
Netanyahu alishasema wamejiandaa kwa vita vya muda mrefu dhidi ya ugaidi.Taratibu Israel wanaanza kusalimi amri.
Israel imekubali kuruhusu kiwango kidogo cha mafuta katika Ukanda wa Gaza chini ya usimamizi wa Umoja wa Mataifa.
kwan mada inahusu ushoga au mahandaki ? ujiitwa mwehu utakasirika?
Kwani Hao wanajeshi wanaokupa taarifa ya mahandaki ni kutoka wapi ?kwan mada inahusu ushoga au mahandaki ? ujiitwa mwehu utakasirika?
Haaa nakuona msemaji wa Netanyau.Netanyahu alishasema wamejiandaa kwa vita vya muda mrefu dhidi ya ugaidi.
Kuruhusu mafuta kidogo ni kwa ajili ya wananchi wa Palestine na sio kwamba imesalimu amri.
Kipigo kiko pale pale
Netanyahu Kwako ni mungu kila anachosema unakubaloli hata akisema nataka kukutafuna haraka tu unavua boxer.Netanyahu alishasema wamejiandaa kwa vita vya muda mrefu dhidi ya ugaidi.
Kuruhusu mafuta kidogo ni kwa ajili ya wananchi wa Palestine na sio kwamba imesalimu amri.
Kipigo kiko pale pale
Hasira ya nini ustazi?!Netanyahu Kwako ni mungu kila anachosema unakubaloli hata akisema nataka kukutafuna haraka tu unavua boxer.
Mwarabu Mmatumbi tumekusikia. Watanzania wenzetu wametekwa na Mashetani wa Hamas na mmoja keshathibitishwa kuuwawa, endelea kutetea your slave masters, na mahandaki yanazidi kufichuliwa hapo hospitalini, kam vile kuna DEADLINE YA kuonyesha mahandaki.Wale waisraeli wakuranga na rombo njooni muanze matusi kutetea taifa teule.
Sisi tunawaletea tu kauli za kaka zenu walioko Israel.
Karibuni sana.
Wala hamna hasira ndiyo kautaratibu kangu miaka yote JF ukija na hoja unajibiwa na hoja ukijafanya kuja kunishambulia kutafuta sifa JF uje imejipanga maana lazima utakuna na bakora.Hasira ya nini ustazi?!
Nimenukuu maneno ya Netanyahu kwamba vita dhidi ya ugaidi itakua ngumu na ya muda mrefu.
Hata kama kuna cease fire itakua ya muda tu for humanitarian reasons.
Hoja gani uliojibu zaidi ya mipasho?!Wala hamna hasira ndiyo kautaratibu kangu miaka yote JF ukija na hoja unajibiwa na hoja ukijafanya kuja kunishambulia kutafuta sifa JF uje imejipanga maana lazima utakuna na bakora.
Mmehamia kwenye ushoga tena baada ya kipigo kukolea hapo Gaza
Mmehamia kwenye ushoga tena baada ya kipigo kukolea hapo Gaza
Video ya kubumba 😁😁