Utopolo ni zaidi ya mbumbumbu yaani ni mamburulaIla ukifatilia kiundani utaona hilo jina la mbumbumbu lipo Simba kimakosa.
Imagine Club ambayo ilijipanga kuandanama kwenda kwa Mama kulalamikia waamuzi pamoja na TFF
Imagine sakata la Feisal kuna mashabiki wametengeneza mgomo baridi wa kususia products za Azam
Imagine mmemtimua Saido kwa madai ya nidhamu mbovu halafu at the same time mkaenda kumsajili Morisson
Imagine hayo yote ya kweli niliyokuambia halafu ukayapinga kwasababu tu ya ushabiki, huoni kwamba kwa kufanya hivyo ni zaidi ya umbumbumbu?
Hapana! Mimi ni Mwananchi halisi.NDIO MIMI NI MBUMBUMBU HALISI JE WEWE NI MIONGONI MWA WALE UMBWA ZA LUC EYMAEL.
Mkiitwa hamnazo mnafurahia sana kwa vile ndiyo mlivyo.Halafu mkiitwa mbumbumbu, mnakasirika!
Jambo moja lililomkimbiza ukiacha lile la kuvalishwa mkoti wa mandonga mtukazi na darubini,inasemekana kuna siku manara na injinia walifika kimbiji kambini wakamtuma mikate,alimind sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Hapana! Mimi ni Mwananchi halisi.
Viongozi wenu huwa wanajivunia sana kuwa na mashabiki wa aina yako.Jamaa moja lililomkimbiza ukiacha lile la uvalishwa mkoti wa mandonga mtukazi na darubini,inasemekana kuna siku manara na injinia walifika kimbiji kambini wakamtuma mikate,alimind sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Na ni mbwakoko kabisaaakama nyinyi munavyofurahi mukiitwa UMBWA.