Msemaji wa klabu kubwa nchini Ahmed Ally nae atoa ya moyoni

Utopolo ni zaidi ya mbumbumbu yaani ni mamburula
 
Leo nimepata network huku kijijini nimekutana na hii nimecheka sanAaa
Dogo walimvalisha mkoti huoo na ile miwani 😀 😀 😀 😀 dAaah
 
Mimi TOTO Kuhama kwenda Azam sijapenta
 
Dharau zilizidi kiwango,dah
Your browser is not able to display this video.
 
Hapana! Mimi ni Mwananchi halisi.
Jambo moja lililomkimbiza ukiacha lile la kuvalishwa mkoti wa mandonga mtukazi na darubini,inasemekana kuna siku manara na injinia walifika kimbiji kambini wakamtuma mikate,alimind sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Viongozi wenu huwa wanajivunia sana kuwa na mashabiki wa aina yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…