ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Naongea na watu wenye akili timamuWalipoenda kucheza na Kagera Sugar kule Bukoba, ni nani aliyegharamia safari na accomodation yao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naongea na watu wenye akili timamuWalipoenda kucheza na Kagera Sugar kule Bukoba, ni nani aliyegharamia safari na accomodation yao?
Upo nao hapo au mnatumia simu?Naongea na watu wenye akili timamu
Safi sana KMC. Simameni kwenye kanuni. Msikubali wahuni/ wababaishaji kupewa nafasi ya kuonesha huo uhuni/ubabishaji wao.Picha inajieleza na kaambatanisha na kanuni za league kuu ya Tanzania bara.
View attachment 2997863
Kwako Karia TFF na bodi ya league yako, tunakufuatilia tuone mtaamuaje mechi hiyo. Mnatutia aubu na kuturudisha zama za ujima wakati tunaweka mpira kwapani.
League ya 6 kwa ubora Afrika inayumbishwa na kupindisha kanuni kwa ajili ya wahuni fulani.
Sisi KMC tunasubiri Alam zetu 3 na goli 3 za Mezani.
Ndivyo itakavyokuwa. Nmeckiliza vipindi vya michezo kwenye Radio tofauti leo lakini sijakutana na hayo yanayosemwa mitandaoni. Ratiba zote hazina Uwanja wa Meja Isamuyo...ni mitandao tu.Wataimba ngonjera nyingi sana lakini mwisho wa siku lazima wachague kwenda Arusha au kumpa Simba point za mezani
hajui sheria wala kanuni za tff na bodi ya ligiPicha inajieleza na kaambatanisha na kanuni za league kuu ya Tanzania bara.
View attachment 2997863
Kwako Karia TFF na bodi ya league yako, tunakufuatilia tuone mtaamuaje mechi hiyo. Mnatutia aubu na kuturudisha zama za ujima wakati tunaweka mpira kwapani.
League ya 6 kwa ubora Afrika inayumbishwa na kupindisha kanuni kwa ajili ya wahuni fulani.
Sisi KMC tunasubiri Alam zetu 3 na goli 3 za Mezani.
Siku zote sehemu yenye hela haikosi figisuMnatia aibu sana Mikia,yaani nafasi ya pili ndio mnafanya figisu za wazi namna hii
Rafiki yangu ni kweli nimekuelewa Ila Utube ndiyo wapi Kaka mkubwa?Mnajisumbua bure tu na habari zisizo na uhakika. Jana Afisa habari wa Bodi ya Ligi, Karim Boimanda, akihojiwa na Oscar Oscar ktk kipindi cha jioni cha wasafi, ameelezea kila kitu. Simba wapo sahihi kabisa na hakuna kanuni yoyote waliyokiuka. Taarifa zilitoka mapema na KMC walifikishiwa taarifa na wakakubali. Wala Bodi ya Ligi haikuwahi kupokea taarifa ya kutumika kwa uwanja wa Meja Isamuyo ktk mechi ya tarehe 25 kati ya Simba na KMC.
Huyo Chukuchuku, Afisa habari wa KMC huenda hakupata taarifa kutoka kwa uongozi wake. Nimeshindwa kuweka link ya kipindi cha jana kinachoitwa "Jana na Leo" cha Wasafi. Itafute Utube.
Hahahahaha unajua kanuni zinasemaje kama timu haitofika ktk mechi husika?Kufanya nini? Wewe ndio utawalipia gharama za kwenda huko kwa kukimbizana?
They will lose the 3 points .Safi sana KMC. Simameni kwenye kanuni. Msikubali wahuni/ wababaishaji kupewa nafasi ya kuonesha huo uhuni/ubabishaji wao.
MAKOLO wanahitaji goli tano ili wamfikie azam, kama KMC atagoma hii mechi MAKOLO watapewa point 3 na goli 3 which means KAMA azam atashinda mechi ya mwisho basi MAKOLO nafasi ya tatu inawahusu!Picha inajieleza na kaambatanisha na kanuni za league kuu ya Tanzania bara.
View attachment 2997863
Kwako Karia TFF na bodi ya league yako, tunakufuatilia tuone mtaamuaje mechi hiyo. Mnatutia aubu na kuturudisha zama za ujima wakati tunaweka mpira kwapani.
League ya 6 kwa ubora Afrika inayumbishwa na kupindisha kanuni kwa ajili ya wahuni fulani.
Sisi KMC tunasubiri Alam zetu 3 na goli 3 za Mezani.
With jkt they will win in less that 2 goals . Deficit will be 3 goals . Which could be reached in the last match .MAKOLO wanahitaji goli tano ili wamfikie azam, kama KMC atagoma hii mechi MAKOLO watapewa point 3 na goli 3 which means KAMA azam atashinda mechi ya mwisho basi MAKOLO nafasi ya tatu inawahusu!
how many games remain for Simba?With jkt they will win in less that 2 goals . Deficit will be 3 goals . Which could be reached in the last match .
You think so?Hawa wataongea wee mwisho wataenda Arusha
Zinasemaje hizo kanuni?hajui sheria wala kanuni za tff na bodi ya ligi
KMC wanasahau walishawahi kupeleka mechi yao na Simba Kirumba.Nani alilipa gharama za accomodation wakiwa Mwanza?Nani ata gharamia safari na accomodation ya KMC wakiwa Arusha?