GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Una uhakika Kichwani mwako zimetimia?Safi watakula kipigo hadi wasambaratike kama mwaka ule!Wasituletee ujinga wao hapa! Ni kula mitalimbo tu, hakuna dawa nyingine! Nyoko zao hao!
MADINI hayajawahi kunuacha ntu salama yaan Jamaa vita yooote kumbe wanagombea UTAJIRI wa MADINI uliopo North Kivu, acha zipigwe tuone nani atachukua ndoo ya MADINI North KivuGENTAMYCINE naungana nao M23 kwa huu Uamuzi wao kwani ni Upumbavu na Chuki kufanya Mkutano wa Amani ya Congo DR huku wenye Madai yao Waasi wa M23 wakibaguliwa na kutoshirikishwa ili Kusikilizwa na Kumalizana nao.
Sasa kama Wao siyo wenye Nchi mbona huko Vikaoni Wanajadiliwa kama sehemu ya Raia wa Congo DR?Ushirikishwe kwani we mwenye nchi,
Silaha zinapita wapi hali congo hawana viwandaKenya upande wa Mpaka wao wa Migori kuna Wajaluo kama ilivyo kwa upande wa Tanzania katika mpaka wao wa Isebania.
Swali Kwako...Je, Siku Wajaluo wa Kenya ( Migori ) wakianzisha Vita na Serikali ya Kenya mtasema kuwa Tanzania inawasaidia kwakuwa na huku pia Wajaluo wako?
GENTAMYCINE nikiwadharau wengi Wenu hapa JamiiForums na Kuwaambieni kuwa hamna Akili mnachukia na Kunikasirikia wakati kumbe Kiuhalisia huwa nakuwa niko sahihi 100%
Watanzania wenye Akili ni Wachache mno ila Fools kama Wewe ndiyo mmejazana na ndiyo maana Mnasagwa hovyo na CCM pamoja na Serikali yake kama Ng'ombe Pori na kwa Upuuzi huu kama wako mnastahili kufanyiwa hivyo.Sawasawa napanya road,aombe kushirikishwa na polisi,juu ya adhabu anazopewa
Katika 'Nukudi' yako na Kufika haraka.Silaha zinapita wapi hali congo hawana viwanda
Ya 'Nukudi' yako iivyojaa 'Kinyesi' au?
Wasubiri kichapo TU mkuu. Hawa wanajeshi wa Rwanda wanaojiita m23 watu washachoka nao sasa hivi kuna mtu wanamlia timing"Hii ni mara ya Pili M23 tunabaguliwa na hatushirikishwi katika Mazungumzo ya kutafuta Amani ya Kwetu Congo DR kama haya ya Leo Nairobi Kenya hivyo nasi tutaendelea Kuwapambania Wakongo kwa Kupambana na Utawala wa Rais Tshisekedi ambao ni wa Kibaguzi hasa kwa Wakongo tutokao Mashariki" Wille Ngoma Msemaji wa Kundi la Waasi wa M23.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
GENTAMYCINE naungana nao M23 kwa huu Uamuzi wao kwani ni Upumbavu na Chuki kufanya Mkutano wa Amani ya Congo DR huku wenye Madai yao Waasi wa M23 wakibaguliwa na kutoshirikishwa ili Kusikilizwa na Kumalizana nao.
We jamaa nae akili yako unaijuaga mwenyewe"Hii ni mara ya Pili M23 tunabaguliwa na hatushirikishwi katika Mazungumzo ya kutafuta Amani ya Kwetu Congo DR kama haya ya Leo Nairobi Kenya hivyo nasi tutaendelea Kuwapambania Wakongo kwa Kupambana na Utawala wa Rais Tshisekedi ambao ni wa Kibaguzi hasa kwa Wakongo tutokao Mashariki" Wille Ngoma Msemaji wa Kundi la Waasi wa M23.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
GENTAMYCINE naungana nao M23 kwa huu Uamuzi wao kwani ni Upumbavu na Chuki kufanya Mkutano wa Amani ya Congo DR huku wenye Madai yao Waasi wa M23 wakibaguliwa na kutoshirikishwa ili Kusikilizwa na Kumalizana nao.
Utanitafuta PM ili unipe 'Nukudi' yako iliyochoka kwa 'Mikurudungu' ya maana Kukuingia ili yakutoke vizuri au?Genta me basha ujue umetaja kinyesi hapo mkwasa umesimama aisee nakufuata dm aisee
Wewe unayo?We jamaa nae akili yako unaijuaga mwenyewe
Unipe 0713Utanitafuta PM ili unipe 'Nukudi' yako iliyochoka kwa 'Mikurudungu' ya maana Kukuingia ili yakutoke vizuri au?
Unayotoaga Kwangu 24/7.Unipe 0713
🤣🤣🤣🤣Unayotoaga Kwangu 24/7.
Unavyoweka muda wako vizuri wa Kuvizia kila Thread yangu ninayoianzisha hapa JamiiForums au Post ninayoichangia ili uje Kunidhihaki, Kunichokoza, Kunishambulia ukiwa na Lengo la Kuuchafua Uzi wangu kwa Majibizano yetu yenye Maneno Makali ( ukiwa na Agenda yako Maalum ) ni Kielelezo tosha kuwa Unanifuatilia, Unanikubali na unateswa mno na Umaarufu wangu wa Kutukuka hapa.🤣🤣🤣🤣
Mimi ningewasapoti kama mngekuwa mnawachapa wanajeshi wa Congo. Tatizo lenu mnaua raia wasiyo na hatia, hasa watoto na wanawake ambao hawawezi kujitetea. Hivi nguvu zenu ni kuawa watoto. Mbona sijasikia M23 wameteketeza ngime ya jeshi la Congo?Tshesekedi ameamua kuwa na akili kama za Mobutu, dawa yake ni kuchapa mpaka kinshasa na kumtoa yeye kwanza
wanaongea hivyo kwasababu ya kiburi, wangekuwa wamepokea kipigo cha mbwa koko wasingeongea icho kitu. kenya hawana uwezo kuwafanya chochote, wala burundi."Hii ni mara ya Pili M23 tunabaguliwa na hatushirikishwi katika Mazungumzo ya kutafuta Amani ya Kwetu Congo DR kama haya ya Leo Nairobi Kenya hivyo nasi tutaendelea Kuwapambania Wakongo kwa Kupambana na Utawala wa Rais Tshisekedi ambao ni wa Kibaguzi hasa kwa Wakongo tutokao Mashariki" Wille Ngoma Msemaji wa Kundi la Waasi wa M23.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
GENTAMYCINE naungana nao M23 kwa huu Uamuzi wao kwani ni Upumbavu na Chuki kufanya Mkutano wa Amani ya Congo DR huku wenye Madai yao Waasi wa M23 wakibaguliwa na kutoshirikishwa ili Kusikilizwa na Kumalizana nao.