britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Msemaji wa Putin, Mr. Peskov anakiri wamepoteza kwenye vita na Ukraine, amesema wamekiri kutofanikiwa Kwa kasi Kama walivyodhani, na hii ni kutokana na wageni kuingilia operation yao huko Ukraine.
Peskov kasema Mrusi anayenuka jasho hapo Sinza Kwa Remmy anabisha
Britanicca
Peskov kasema Mrusi anayenuka jasho hapo Sinza Kwa Remmy anabisha
Britanicca