britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Ukraine ina angamiaNaofia kesho ataamka na heart attack hahaha
Yale magari kule nyuma ya mtangazaji mbona yanarusha biskuti na ice cream za Azam!Ukraine ina angamia
Plutonium halali yake huyo atageuka ungaunga kila idara ya mwili wake soon very soon. Kama ana akili ahame nchi fasta. Putin ovyo sana.Naofia kesho ataamka na heart attack hahaha
sasa hivi wana kupigia tu wa navyo takaYale magari kule nyuma ya mtangazaji mbona yanarusha biskuti na ice cream za Azam!
acha ujinga elewa dunia Kijiji kwasasa urusi ni nn kwenye dunia hii hapo imedhihirika Hana kitu ametia aibu ,jasusi wakizamani PutinUwepo wa Urusi ni mhimu ili kubalance shobo,
Hao mabeberu wataishia kuwatishia kina Magufuli tu
Откуда ты знаешь, что речь идет о людях, а не о технике?We suffered significant losses of troops, this is a huge tragedy for us - Peskov
Kuna wakati mnatafsiriwa na kwa vile hata lugha yenyewe haipandi basi hamuwezi hata kuelewa content.
Он про людей говорил, а не технику..жопа ты!!View attachment 2179714
Если ты не можешь прочитать и понять, что он про людей говорил, то как могу я тебе объяснить?Откуда ты знаешь, что речь идет о людях, а не о технике?
Kama sio rt au sputnik tunywe kahawa tu.......Msemaji wa Putin Mr Peskov anakili wamepoteza kwenye vita na Ukraine, amesema wamekili kutofanikiwa Kwa kasi Kama walivyodhani, na hii ni kutokana na wageni kuingilia operation yao huko Ukraine,
Peskov kasema Mrusi anayenuka jasho hapo Sinza Kwa Remmy anabisha View attachment 2179653
Britanicca
Kuna Watu Ni mabingwa wa upotoshaji, umewaumbuaWe suffered significant losses of troops, this is a huge tragedy for us - Peskov
Kuna wakati mnatafsiriwa na kwa vile hata lugha yenyewe haipandi basi hamuwezi hata kuelewa content.
Он про людей говорил, а не технику..жопа ты!!View attachment 2179714
Ushashiba futar unakuja kujaza saver za watuUkraine ina angamia
HahahaUshashiba futar unakuja kujaza saver za watu