Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Kwa Tanzania sifa ya kuwa mwandishi wa habari, ni kujua kusoma na kuandika.Sasa unapata wapi ujasiri wakusema wewe ni mwandishi wa habari??
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Tanzania sifa ya kuwa mwandishi wa habari, ni kujua kusoma na kuandika.Sasa unapata wapi ujasiri wakusema wewe ni mwandishi wa habari??
Hakuna mtu anayejua kila kitu, hivyo ikitokea mada ambayo sina cha kuchangia, lakini naiunga mkono hoja, huchangia kwa kuunga mkono hoja.pasko siku hizi kuna anachojua kuandika zaidi ya kuandika ‘naunga mkono hoja?’
Kwa Tanzania sifa ya kuwa mwandishi wa habari, ni kujua kusoma na kuandika.
P
Naunga mkono hoja ya Dr. Abbas, uandishi wa habari ni fani, ni kipaji na pia ni taaluma, ina miiko yake, haki zake, wajibu wake, misingi yake na zaidi sheria zake. Sheria, taratibu na kanuni za uandishi zifuatwe na maadili yazingatiwe na yalindwe.
P
Rejea.
Tanzania tuna uhuru mkubwa wa habari na uhuru wa kujieleza, Serikali ina nia njema kusajili na Kudhibiti-Dr. Hassan Abbas afafanua live on Chan.10
Wanabodi, Naangalia kipindi cha Baragumu ambacho kiko live on Channel Ten, Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Maelezo, Dr. Hassan Abbas, afafanua mambo mbalimbali ya Habari Tanzania, amesema Tanzania Tuna Uhuru Mkubwa wa Habari na Uhuru mkubwa wa Kujieleza, ila pia amefafanua usajili wa mitandao ya...www.jamiiforums.com
Uhuru wa Habari Tanzania: Je, Vyombo Viko Huru? Je, Waandishi wa Habari wako huru? Wanathaminiwa?.
Wanabodi Leo ni Siku ya Kimataifa ya kuadhimisha Uhuru wa Habari. Kwa Tanzania, maadhimisho rasmi yanafanyikia jijini Mwanza, katika kuadhimisha siku hii kwa Tanzania tunaadhimisha nini haswa?. Wakati tukiadhimisha hicho tunachoadhimisha, hakuna ubaya tukitafakari baadhi maswali haya... 1.Jee...www.jamiiforums.com
Media, Tumedhalilishwa!, Tumejidhalilisha!. Ni Matokeo ya Sheria Mbovu, Umasikini, Dawa ni Kuunganisha Habari na UtangazajI, Tulipwe Fungu Nene!.
Wanabodi, Japo dunia nzima inafahamika nchi kuendeshwa kwa mihilimili mitatu ya The Executives, The Legislature and The Judiciary, si wengi wanaotambua kuwa kuna mhilimili wa nne, The Media. Media ni mhimili, "The Forth Protocol, or The Forth Estate", waandishi wa habari ni mhimili, wanapaswa...www.jamiiforums.com
Vyombo Vya Habari Vya Tanzania, Havina Uwezo wa Uchambuzi wa Habari, News Analysis-Jicho Letu
Wanabodi, Kama kawaida ya Jumamosi asubuhi, Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, leo, chini ya nguli Dotto Emmanuel Bulendu, wachangiaji ni Moses Mathew na Mansoor. Kipindi kimeiponda media ya Tanzania kuwa vina uwezo duni wa kufanya serious IJ, uchambuzi wa kina, yaani, news...www.jamiiforums.com
Ni habari ipi (zipi) ya uongo iliyosambazwa?Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Dkt. Hassan Abbas kupitia ukurasa wake wa Twitter ndio ametoa onyo hilo kwa kusema;
"Katika siku za karibuni kumeibuka tena tabia ya baadhi ya vyombo vya habari hapa nchini kushabikia, kutumika na kuwa mawakala wa kusambaza habari za uongo, uzushi na propaganda dhidi ya nchi yetu kutoka mashirika ya kimataifa au wawakilishi wa mataifa ya nje."
"Bahati mbaya katika habari hizo misingi ya taaluma ya habari husiginwa hasa kanuni ya kujiridhisha na ukweli wa tuhuma husika. Kwa sababu hiyo, Serikali imeelekeza vya kutosha, imeonya vya kutosha na imesamehe vya kutosha. Sasa tutachukua HATUA KALI za kisheria."
"Vyombo vya habari; vya ndani na nje ya nchi vilivyosajiliwa, kupewa ruhusa ya kutekeleza majukumu yao hapa nchini vinakumbushwa tena kwamba uandishi wa habari ni taaluma; ina haki zake, wajibu wake, misingi yake na zaidi sheria zake. Sheria zilindwe, zisibanangwe"
Nami nimemshusha njaa kuliko mtoto wa viduduTangu ulipoanza kupongeza na kushabikia mambo ya hovyo nami nikashusha credibility zako kabisa kabisa
Paskali, hebu nikumbushe hatua alizochuliwa dhidi ya magazeti ya Musiba; Jamvi la Habari na Tanzanite.Naunga mkono hoja ya Dr. Abbas, uandishi wa habari ni fani, ni kipaji na pia ni taaluma, ina miiko yake, haki zake, wajibu wake, misingi yake na zaidi sheria zake. Sheria, taratibu na kanuni za uandishi zifuatwe na maadili yazingatiwe na yalindwe.
P
Rejea.
Tanzania tuna uhuru mkubwa wa habari na uhuru wa kujieleza, Serikali ina nia njema kusajili na Kudhibiti-Dr. Hassan Abbas afafanua live on Chan.10
Wanabodi, Naangalia kipindi cha Baragumu ambacho kiko live on Channel Ten, Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Maelezo, Dr. Hassan Abbas, afafanua mambo mbalimbali ya Habari Tanzania, amesema Tanzania Tuna Uhuru Mkubwa wa Habari na Uhuru mkubwa wa Kujieleza, ila pia amefafanua usajili wa mitandao ya...www.jamiiforums.com
Uhuru wa Habari Tanzania: Je, Vyombo Viko Huru? Je, Waandishi wa Habari wako huru? Wanathaminiwa?.
Wanabodi Leo ni Siku ya Kimataifa ya kuadhimisha Uhuru wa Habari. Kwa Tanzania, maadhimisho rasmi yanafanyikia jijini Mwanza, katika kuadhimisha siku hii kwa Tanzania tunaadhimisha nini haswa?. Wakati tukiadhimisha hicho tunachoadhimisha, hakuna ubaya tukitafakari baadhi maswali haya... 1.Jee...www.jamiiforums.com
Media, Tumedhalilishwa!, Tumejidhalilisha!. Ni Matokeo ya Sheria Mbovu, Umasikini, Dawa ni Kuunganisha Habari na UtangazajI, Tulipwe Fungu Nene!.
Wanabodi, Japo dunia nzima inafahamika nchi kuendeshwa kwa mihilimili mitatu ya The Executives, The Legislature and The Judiciary, si wengi wanaotambua kuwa kuna mhilimili wa nne, The Media. Media ni mhimili, "The Forth Protocol, or The Forth Estate", waandishi wa habari ni mhimili, wanapaswa...www.jamiiforums.com
Vyombo Vya Habari Vya Tanzania, Havina Uwezo wa Uchambuzi wa Habari, News Analysis-Jicho Letu
Wanabodi, Kama kawaida ya Jumamosi asubuhi, Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, leo, chini ya nguli Dotto Emmanuel Bulendu, wachangiaji ni Moses Mathew na Mansoor. Kipindi kimeiponda media ya Tanzania kuwa vina uwezo duni wa kufanya serious IJ, uchambuzi wa kina, yaani, news...www.jamiiforums.com