Msemaji wa Serikali umedanganya; tuzo ya Nobel haijaenda kwa Raia wa Tanzania

Msemaji wa Serikali umedanganya; tuzo ya Nobel haijaenda kwa Raia wa Tanzania

Siku zote walikua wapi kumtaja??

Awamu iliyopita waliaminishwa mtu yoyote aliyepo nje ya Tanzania ni kibaraka wa mabeberu na hana nia njema na Tanzania
 
Excuse my language Mkuu kwa hiyo Zitto na yule marehemu walikuwa wanamla tigo huyo jamaa?
Hahahaha
Yasemekana hata Msemaji wa Chama cha Sufiani Kwa SASA na yeye ni Kama Sufiani
 
Pengine wameruhusu dual citizenship!

View attachment 1967578
Sasa huyu hakuwahi kuwa raia wa tanganyika au tanzania maana raia wa tanzania ni wale raia wote waliokuwepo tanganyika na zanzibar april 26. Huyu ameondoka mwaka 1960 kipindi hiko zanzkbar ilikua chini ya wauza watumwa wenye asili ya kiarabu na tanganyika chini ya wauza watumwa wa kutokea ulaya
 
Prof. Gurnah aliyeshinda tuzo ya Nobel siyo raia wa Tanzania Kama serikali na viongozi wengi pamoja vyombo vya habari vilivyoripoti. Huyo ni raia wa Uingereza Mwenye asili ya Tanzania.

Msemaji wa Serikali hapaswi kuandika kwa kuangalia mitandao bali anapaswa kufanya utafiti. Haina haja kuwa na msemaji wa serikali na viongozi wa serikali wanaodanganya umma au kuripoti habari bila kujirizosha. Nadhani tuwe watu wakufanya utafiti.
Hivi si alitumbuliwa ikawaje akabaki tena nafasi yake kuna mtu alichaguliwa
 
Prof. Gurnah aliyeshinda tuzo ya Nobel siyo raia wa Tanzania Kama serikali na viongozi wengi pamoja vyombo vya habari vilivyoripoti. Huyo ni raia wa Uingereza Mwenye asili ya Tanzania.

Msemaji wa Serikali hapaswi kuandika kwa kuangalia mitandao bali anapaswa kufanya utafiti. Haina haja kuwa na msemaji wa serikali na viongozi wa serikali wanaodanganya umma au kuripoti habari bila kujirizosha. Nadhani tuwe watu wakufanya utafiti.
Walivyo na memory chip ndogo wamesahau kwamba Tanzania Haina Uraia pacha![emoji2956] Gumah sio Mtanzania ni Mwingereza mwenye asili ya Tanzania hususani Zanzibar
 
Prof. Gurnah aliyeshinda tuzo ya Nobel siyo raia wa Tanzania Kama serikali na viongozi wengi pamoja vyombo vya habari vilivyoripoti. Huyo ni raia wa Uingereza Mwenye asili ya Tanzania.

Msemaji wa Serikali hapaswi kuandika kwa kuangalia mitandao bali anapaswa kufanya utafiti. Haina haja kuwa na msemaji wa serikali na viongozi wa serikali wanaodanganya umma au kuripoti habari bila kujirizosha. Nadhani tuwe watu wakufanya utafiti.
Mdesi sana huyo mbena manga. Agaya luhala mpuva
 
Kweli mnatuona machogo mazuzu kabisa. Abdulrazak Gurnah alizaliwa katika Sultanate ya Zanzibar ambayo ilikuwa ni Protectorate ya Uingereza. Hajawahi kuwa raia wa Oman. Aliondoka ( hakufukuzwa) Zanzibar mwaka 1967 kwa visa ya utalii ambayo alipewa na ubalozi wa Uingereza uliokuwa Dar es Salaam. Wakati anaondoka alikuwa amemaliza sekondari na alikuwa ameajiriwa kama mwalimu. Wakati anaondoka aliondoka kama raia wa Tanzania.

Kwa maelezo yake mwenyewe Mapinduzi yalikuwa na watu kutoka jamii zote. Anakumbushia Abdulrahman Babu alikuwa afisa mkubwa serikalini. Anakumbushia pia kuwa mke wa Karume alikuwa Mhindi. Anasema hali ilibadilika sana mwaka 1972 baada ya kuuawa kwa Karume, wakati huo tayari yuko Uingereza.

Kama kuna ubaya alifanyiwa yeye na jamii yake, alifanyiwa na wazanzibari wenzake na sio machogo. Ukweli nyinyi ndio mnatakiwa kumuomba radhi kwa ubaya na maovu mliomfanyia. Hii kumkumbatia sasa baada ya kumsulubu sana ni unafik wa hali ya juu. Lakini ukweli ni kuwa niliacha kushangazwa na kauli zenu miaka mingi iliyopita.

Amandla...
Utalii gani huo anaufanya kwa miaka 52 mpaka sasa? Unajua maana ya protectorate? Na ni lini aliukana uraia wake wa Zanzibari wake mpaka umwite Mtanzania? Tatizo lako wewe unamiini propaganda, hadithi ulizolishwa na watu waliokuwa na uchu na Zanzibar kwa muda mrefu.
 
Utalii gani huo anaufanya kwa miaka 52 mpaka sasa? Unajua maana ya protectorate? Na ni lini aliukana uraia wake wa Zanzibari wake mpaka umwite Mtanzania? Tatizo lako wewe unamiini propaganda, hadithi ulizolishwa na watu waliokuwa na uchu na Zanzibar kwa muda mrefu.
Aliingia uingereza kwa kutumia visa ya utalii ( tourist visa). Baada ya kupata shule alibadilisha visa yake kuwa ya uanafunzi na baadae akachukua uraia. Baada ya Muungano wa mwaka 1964 wazanzibari wote walikuwa raia wa Tanzania. Ni dhahiri huyu bwana alitumia paspoti ya Tanzania alipoomba visa. Uraia huo wa Zanzibar uliacha kutambulika nje ya mipaka ya JMT baada ya Muungano. Hata ndani ya mipaka ishara ya uraia ni vitambulisho vya ukaazi na sio paspoti.

Usiyejua maana ya protectorate ni wewe. Baada ya mkataba wa Heligoland- Zanzibar, waingereza waliigeuza Zanzibar kuwa protectorate yao na kumfanya Hamoud bin Mohammed kuwa Sultan wa Zanzibar baada ya kumpiga Khalid bin Bhargash. Kwa kifupi Sultan alikuwa figure head lakini watawala walikuwa waingereza. Walipochoka, mwaka 1963 wakamrudishia utawala Sultan Jamshid.

Unajidanganya sana unapofikiri kuwa machogo tuna uchu na Zanzibar. Wengi wetu hatujawahi kufika wala kutamani kufika Zanzibar. Matatizo mliyonayo ni ya kwenu wenyewe kwa sababu hamjawahi kupendana. Mfano ni huyu Gurnah, wakati dunia nzima inampongeza kama mwafrika na yeye mwenyewe kusema kuwa hiyo zawadi ni kwa ajili ya waafrika na Afrika, nyinyi mnakazania kuwa ni mOmani na Muarabu! Hata haya hamna.

Amandla....
 
Aliingia uingereza kwa kutumia visa ya utalii ( tourist visa). Baada ya kupata shule alibadilisha visa yake kuwa ya uanafunzi na baadae akachukua uraia. Baada ya Muungano wa mwaka 1964 wazanzibari wote walikuwa raia wa Tanzania. Ni dhahiri huyu bwana alitumia paspoti ya Tanzania alipoomba visa. Uraia huo wa Zanzibar uliacha kutambulika nje ya mipaka ya JMT baada ya Muungano. Hata ndani ya mipaka ishara ya uraia ni vitambulisho vya ukaazi na sio paspoti.

Usiyejua maana ya protectorate ni wewe. Baada ya mkataba wa Heligoland- Zanzibar, waingereza waliigeuza Zanzibar kuwa protectorate yao na kumfanya Hamoud bin Mohammed kuwa Sultan wa Zanzibar baada ya kumpiga Khalid bin Bhargash. Kwa kifupi Sultan alikuwa figure head lakini watawala walikuwa waingereza. Walipochoka, mwaka 1963 wakamrudishia utawala Sultan Jamshid.

Unajidanganya sana unapofikiri kuwa machogo tuna uchu na Zanzibar. Wengi wetu hatujawahi kufika wala kutamani kufika Zanzibar. Matatizo mliyonayo ni ya kwenu wenyewe kwa sababu hamjawahi kupendana. Mfano ni huyu Gurnah, wakati dunia nzima inampongeza kama mwafrika na yeye mwenyewe kusema kuwa hiyo zawadi ni kwa ajili ya waafrika na Afrika, nyinyi mnakazania kuwa ni mOmani na Muarabu! Hata haya hamna.

Amandla....
Hakuna mtalii wa kuishi miaka 52 utaliini. Huyo alikuwa ni mkimbizi wa mapinduzi haramu na kama ubalozi wa Uingereza ungekuwa na visa rasmi ya wakimbizi wa mapinduzi haramu angeiomba hiyo badala ya visa ya utalii. Sema wewe na wenzako wenye mawazo kama yako ndiyo mliacha kuitambua Zanzibar mwaka 1964. Siyo watu wote.

Protectorate ni chombo tuu cha sheria tena unaweza kusema ni chombo cha imperialism. Haina sovereignity yoyote na wala haitambuliki kwa watu wenye akili. Na huwezi kusema Zanzibar ni sehemu ya Britain, kihistoria Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Oman.

Kwa taarifa yako basi, Nyerere alikuwa na mpango wa kuimeza Zanzibar tangu miaka ya 1956. Kwa nini unafikiri Nyerere alikaa kimya wakati Kambona anapeleka silaha za kuleta mapinduzi haramu Zanzibar? Unafikiri alikuwa hajui kinachopangwa kufanywa?
 
Sasa huyu hakuwahi kuwa raia wa tanganyika au tanzania maana raia wa tanzania ni wale raia wote waliokuwepo tanganyika na zanzibar april 26. Huyu ameondoka mwaka 1960 kipindi hiko zanzkbar ilikua chini ya wauza watumwa wenye asili ya kiarabu na tanganyika chini ya wauza watumwa wa kutokea ulaya
Aisee... Kwa hiyo hutaki hizo sifa za Nobelist tena??
 
Hatuna huo muda mkuu kwa maana watanzania tunaowajua huwa hawafuatilii habari wakishaambiwa. wakiambiwa Mike Tyson ni mtoto wa mzee Wassira utakuta ndio habari iliyozagaa kila mtaa...
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],we jamaa umetishs[emoji23][emoji23]
 
CCM ni wanafiki wa kiwango cha PHD. Hamza alikuwa mwanachama na mfadhili wao wamemkataa. Leo wanajipendekeza kwa raia wa Uingereza kisa amepata Nobel Prize!
 
Hata Tundu Lisu akipewa tuzo utashangaa Serikali ya Tanzania wana mpongeza japo kwa sasa hawataki kumuona. Na walitaka kumuua.
Huyu alie pewa hii tunzo ni Mtanzania wa kuzaliwa lakini ni raia wa Uingereza. Alitofautiana na wakubwa akahama nchi..
Kujisahaulisha na unafiki ndio jadi yetu. Wakati utaalamu wa mtanzania haithaminiki hapa nchini kwetu nje unathaminika...
 
Back
Top Bottom