Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kuwa makini sana kwa sasa kwani umeshaingizwa katika 18 baada ya Mtego na Umeshashtukiwa

Yanga alipopigwa mbili hayo mapandizikizi yalikuwepo au hayakuwepo bado!?
 
Ujinga wenu tu na fikra zenu mbovu.

Kulikuwa na ki day, max day mbona mechi ziliishaga vizuri tu?


Kutajwa kibu ndio iwe shida?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…