Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kuwa makini sana kwa sasa kwani umeshaingizwa katika 18 baada ya Mtego na Umeshashtukiwa

Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kuwa makini sana kwa sasa kwani umeshaingizwa katika 18 baada ya Mtego na Umeshashtukiwa

Ushamba wako wewe GENTAMYCINE ni kuamini unaujua ujasusi kuliko Yericko Nyerere (Ahahahahaha) na kwamba kila mtu Simba ni msaliti isipokuwa wewe. Huo ni ushamba ndugu sio ujanja. Inawezekana umekuja mjini umechelewa kama akina Juma Lokole! Ahahahahaha!!!
Genta c Selemani pure
 
Wewe jamaa una faidika nini na fake propaganda zako kama Hamas ushirikina upo sijui kama viongozi wako wa kiroho wanafahamu unasapoti sana mambo ya ushirikina huku Jf, unaokoteza taarifa zako vijiwe majungu huko unaleta humu wewe ni mchonganishi sana sijui una sali dhehebu gani hakuna mtu anayesali ana roho nyeusi kama wewe.

Hivi huyo Ahmed Ally aliuza ramani gani mbona mnatapatapa sana kwani Ahmed ndio Kocha kikosi cha Simba kilichocheza ni kile kile cha siku zote lawama za nini inafungwa Barca 7 man u inakula 6 mbona simba ikifungwa kelele sana.

inapendeza kama kesho namungo wakagusa mshono tena
Sahih kbsa
 
Mnafiki tu wewe apate msaada leo thread ni 2020!! Tabia za kike hizo
Yeye anavyoweka screenshots za zamani tena kila uzi hauoni kama unafiki na tabia za kike ?

Halafu mbona umechagua kujibu kitu kimoja katika post yangu wakati sijauliza jambo hilo pekee hapo hauoni kama na wewe unaleta unafiki na tabia za kike kuchagua umbea unaokupendeza ?
 
Kama kuna Kitu ambacho GENTAMYCINE ninawapongeza Yanga SC kwani Wamekiweza na Kinawasaidia mno ni Kupenyeza Watu wao HATARI ndani ya Simba SC (tena Jikoni kabisa) halafu Waliopenyezwa nao kuwa Wasanii (Waigizaji) kwa kujifanya ni wana Simba SC na Wanaifia sana Timu kumbe nyuma ya Pazia wanatoa Ramani zote za Vita kwa Adui na Timu ikifungwa mbele ya Media wanajifanya Kuumia na Kusikitika ila wakiwa tu Mafichoni Kwao pale Gwambina (zamani TCC Club Chang'ombe) wanaanza Kucheka, Kukata Viuno na Misebene ya Kikongo huku Gari aina ya ALPHARD Nyeusi ya Ofisini kwa Tajiri Posta Juu Ghorofani ikileta Fedha kwa Kazi nzuri ya USALITI na KUTUUMIZA wana Simba SC huku Kinafiki/Kiunafiki ukijifanya uko pamoja nasi.

ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku (ignore) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA/HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya.

Nimemaliza.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Ndio maana ya kuitwa michezo mkuu usipanic yaan mchezo ndani yake kuna mchezo hivyo hivyo tu tuliza ball acha povu hata wewe ungekua nafas hizo na iman usingeacha kitu ungeenda hivyo hivyo mapenz ya yanga na simba yalikua zaman sana siku hizi pesa mbele
 
Wewe ndie mpuuzi ,wapi mimi nimemcheka kutokana na hayo hiyo ?hauoni kwamba kupitia hiyo screenshot anaweza kupata msaada ?

Halafu umedakia mambo bila kujua chanzo wakati yeye ndiye muanzilishi wa tabia ya kuweka screenshots za watu sasa mfano ya GENTAMYCINE kuhusu utabiri wa mechi ya Yanga na Azam anaipitisha katika kila uzi ,sasa kivipi upate hasira na sisi tukiweka zake ?

Naomba majibu..
Mkuu hivi unajua huyo ndiyo CAPO DELGADO na hiyo ni ID yake nyingine? Anazo Nne ( 4 ) hapa Jamvini.
 
Yeye anavyoweka screenshots za zamani tena kila uzi hauoni kama unafiki na tabia za kike ?

Halafu mbona umechagua kujibu kitu kimoja katika post yangu wakati sijauliza jambo hilo pekee hapo hauoni kama na wewe unaleta unafiki na tabia za kike kuchagua umbea unaokupendeza ?
Screenshot za kuomba msaada?au zipi?kisa mwenzio aliweka shida yake humu ndio unaitumia kama point of personal attack yeyote anaweza anaweza pata shida binadamu hatujawahi kuishiwa shida..nimekukumbusha tu mzee.
 
Ahmed Ally ni Simba lia lia, yaani Simba hasaaaaaaa, amesoma na Mdogo wangu Kirinjiko Sec School, nilimuuliza akasema ni Simba tena lia lia. Hii ni Kamba
 
Ahmed Ally ni Simba lia lia, yaani Simba hasaaaaaaa, amesoma na Mdogo wangu Kirinjiko Sec School, nilimuuliza akasema ni Simba tena lia lia. Hii ni Kamba
Wewe ni muongo wa kutupwa ahmed ni yanga lialia mimi naongea hivyo kwasababu namjua vizuri sana
 
Back
Top Bottom