Msemaji wa Tabora United amvaa Jemedari Saidi

Msemaji wa Tabora United amvaa Jemedari Saidi

Ili kuusaidia mpira wetu ufike mbali tunawahitaji watu kama Jemedari wawe wengi zaidi

Kama hiki anachokiripoti kina ukweli maana yake kinaweza kuja kuwa msaada kwa wakubwa ambao walikuwa hawana hizo taarifa.

Maana yake sisi wote tunajua mifumo yetu ya kiutawala ilivyogubikwa na lundo la wapigaji huku sponsors wakiwa hawapati taarifa ya kinachoendelea.

Ni Jemedari huyu huyu aliyefanya Yanga Princess iweze kupata stahiki zake baada ya wachezaji wengi kuweka mgomo kufuatia madai yao.

Inawezekana ilikuuma na kufanya umchukie jamaa kwa kashfa ya Club kutolipa mishahara kuona kama Club yako imechafuliwa.

Lakini huangalii upande wa pili wa ndugu wa hao wachezaji ambao wako nyuma yao kama tegemezi, kuona jinsi ambavyo wanaweza kumuona jamaa kama shujaa kwa kufanya watoto zao wapate stahiki zao.

Hata ile ishu ya timu ya Majimaji kutelekezwa unafikiri bila nguvu ya watu wa media kufikishiwa za chini ya kapeti wasi expose public kilichotokea ni kivipi wangeweza kusaidiwa?

Unakumbuka mpaka Erasto Nyoni anatoa 1M kuwalipia madeni?

Unafikiri zile zilikuwa ni taarifa official zilizotolewa na Clubs au ni whistleblowers?

Unakumbuka ishu ya timu ya vijana ya Taifa? madogo waliivusha Tanzania kwenye hatua ya hadi nusu fainali ambapo walifanya nchi ipate zaidi ya sh. 190M (kama sikosei) halafu TFF ikawarudisha nyumbani na kila mtu akachukua 50,000 hapo ni plus nauli.

Halafu madogo hadi jezi walinyang'anywa.

Baada ya hizo taarifa kumfikia Jemedari na yeye kupost public kila mtu aliwashangaa TFF kwa ukatili wao.

Pengine hata wewe unayemnanga Jemedari ulikuwa ni mmoja wao waliyeshangaa kitendo hicho kilichofanywa na TFF.

Kuna uwezekano watu wa media za michezo wengi ni waoga ambao hawana guts za kufanya hiki anachofanya Jemedari ndio maana wahanga wanapokumbana na changamoto wanamtafuta yeye

Nakuhakikishia mbali na kasoro zake kama binadamu ila huyu jamaa ni msaada sana kwenye soka letu.

Wachezaji kutoka Clubs zingine wanapoona situation kama hiyo iliwahi kutokea sehemu nyingine na ikaja kuwa solved baada ya hizo taarifa kuwa exposed na media.

Na wao wanaona bora wapitie njia hiyo hiyo ili kama kuna wakwamishaji wajulikane na wao wapate stahiki zao.

Unaweza kumchukia Jemedari kwasababu zako binafsi lakini haina maana kwenye hili anakosea.
Hata ulaya ipo hivyo kwenye kila klabu huwa kuna watu ambao huwa ni vyanzo vya habari vya waandishi wa habari. We unadhani zile taarifa tunazozipata kutoka ulaya kuwa wachezaji wa timu flani hawamtaki kocha au hakuna maelewano katika dressing rooms huwa zinawafikiaje wanahabari kama sio hao whistle blowers?

Hata Fabrizio Romano anapata habari haraka kuliko watu wengine kutokana na kuwa na hao whistleblowers ndani ya klabu mbalimbali.
 
Wewe ni Yanga
Kikawaida utopolo hawampendi Jemedari coz mnaongoza kwa madudu na ni watu wa hasira,
Yaani kwa akili yako kabisa Manula afungue duka jemedari asijue, hii nchi ina watu vilaza sana hahahaha
Kwa kukusaidia hiyo ilikua ni kutafuta attention ya social media!!!
Elimu, Elimu, Elimu
Wewe ni msukule.

Sisi wengine ni MASHABIKI wa mpira, timu zinakuja baadaye.

Tena watu Kama nyie shughuli zenu ni kufirwa tu huko mitaani
 
Ili kuusaidia mpira wetu ufike mbali tunawahitaji watu kama Jemedari wawe wengi zaidi

Kama hiki anachokiripoti kina ukweli maana yake kinaweza kuja kuwa msaada kwa wakubwa ambao walikuwa hawana hizo taarifa.

Maana yake sisi wote tunajua mifumo yetu ya kiutawala ilivyogubikwa na lundo la wapigaji huku sponsors wakiwa hawapati taarifa ya kinachoendelea.

Ni Jemedari huyu huyu aliyefanya Yanga Princess iweze kupata stahiki zake baada ya wachezaji wengi kuweka mgomo kufuatia madai yao.

Inawezekana ilikuuma na kufanya umchukie jamaa kwa kashfa ya Club kutolipa mishahara kuona kama Club yako imechafuliwa.

Lakini huangalii upande wa pili wa ndugu wa hao wachezaji ambao wako nyuma yao kama tegemezi, kuona jinsi ambavyo wanaweza kumuona jamaa kama shujaa kwa kufanya watoto zao wapate stahiki zao.

Hata ile ishu ya timu ya Majimaji kutelekezwa unafikiri bila nguvu ya watu wa media kufikishiwa za chini ya kapeti wasi expose public kilichotokea ni kivipi wangeweza kusaidiwa?

Unakumbuka mpaka Erasto Nyoni anatoa 1M kuwalipia madeni?

Unafikiri zile zilikuwa ni taarifa official zilizotolewa na Clubs au ni whistleblowers?

Unakumbuka ishu ya timu ya vijana ya Taifa? madogo waliivusha Tanzania kwenye hatua ya hadi nusu fainali ambapo walifanya nchi ipate zaidi ya sh. 190M (kama sikosei) halafu TFF ikawarudisha nyumbani na kila mtu akachukua 50,000 hapo ni plus nauli.

Halafu madogo hadi jezi walinyang'anywa.

Baada ya hizo taarifa kumfikia Jemedari na yeye kupost public kila mtu aliwashangaa TFF kwa ukatili wao.

Pengine hata wewe unayemnanga Jemedari ulikuwa ni mmoja wao waliyeshangaa kitendo hicho kilichofanywa na TFF.

Kuna uwezekano watu wa media za michezo wengi ni waoga ambao hawana guts za kufanya hiki anachofanya Jemedari ndio maana wahanga wanapokumbana na changamoto wanamtafuta yeye

Nakuhakikishia mbali na kasoro zake kama binadamu ila huyu jamaa ni msaada sana kwenye soka letu.

Wachezaji kutoka Clubs zingine wanapoona situation kama hiyo iliwahi kutokea sehemu nyingine na ikaja kuwa solved baada ya hizo taarifa kuwa exposed na media.

Na wao wanaona bora wapitie njia hiyo hiyo ili kama kuna wakwamishaji wajulikane na wao wapate stahiki zao.

Unaweza kumchukia Jemedari kwasababu zako binafsi lakini haina maana kwenye hili anakosea.
Binafsi yangu huyu Jemedari nilishaacha kumfatilia na nilisha block acc yake ya Instagram kitambo ypte hiyo ni kwa sababu ya unafiki. Sikatai kuna habari anazitoa ni kweli kama taaluma yake inavyomtaka lakini asilimia kubwa ya habari anazo publish zina uongo na unafiki mwingi kiasi kupoteza credibility yake.

Habari zake zina base upande fulani halafu huo upande unasiginwa chumvi nyingi ili mradi kupata kile anachokusudia sasa mtu kama huyo ni mbaya sana hasa akili akikutana na watu wenye uwezo mdogo wa kung'amua mambo. Anaweza walisha sumu kali bila wao kujua na wakawa kama yeye tu. Imeshathibitika mara kadhaa haipendi Yanga na ameshathibitisha mara nyingi zaidi kutoficha mahaba yake kwa Simba which is sio mbaya. Lakini kupenyeza habari za uongo kwakua huupendi upande fulani ni jamba baya zaidi.
 
Hata ulaya ipo hivyo kwenye kila klabu huwa kuna watu ambao huwa ni vyanzo vya habari vya waandishi wa habari. We unadhani zile taarifa tunazozipata kutoka ulaya kuwa wachezaji wa timu flani hawamtaki kocha au hakuna maelewano katika dressing rooms huwa zinawafikiaje wanahabari kama sio hao whistle blowers?

Hata Fabrizio Romano anapata habari haraka kuliko watu wengine kutokana na kuwa na hao whistleblowers ndani ya klabu mbalimbali.
Romano hua haandiki majungu kama huyo mjinga wenu
 
Binafsi yangu huyu Jemedari nilishaacha kumfatilia na nilisha block acc yake ya Instagram kitambo ypte hiyo ni kwa sababu ya unafiki. Sikatai kuna habari anazitoa ni kweli kama taaluma yake inavyomtaka lakini asilimia kubwa ya habari anazo publish zina uongo na unafiki mwingi kiasi kupoteza credibility yake.

Habari zake zina base upande fulani halafu huo upande unasiginwa chumvi nyingi ili mradi kupata kile anachokusudia sasa mtu kama huyo ni mbaya sana hasa akili akikutana na watu wenye uwezo mdogo wa kung'amua mambo. Anaweza walisha sumu kali bila wao kujua na wakawa kama yeye tu. Imeshathibitika mara kadhaa haipendi Yanga na ameshathibitisha mara nyingi zaidi kutoficha mahaba yake kwa Simba which is sio mbaya. Lakini kupenyeza habari za uongo kwakua huupendi upande fulani ni jamba baya zaidi.
Jemedari hata Simba huwa anaikanyagia sana pale anapoona inapozingua.

Sema nachokiona watu wa Yanga wengi wamerithishwa chuki na Manara.

Mfano Jemedari akitoa maoni yake kuwa haioni Yanga kushinda mechi yao ya kesho, halafu mechi ikaisha na Yanga kushinda, mashabiki wa Yanga wote watamfuta jamaa na kuanza kumtukana.
 
TIimu ikiwa na ukata wa namna hiyo hata kuuza mechi ni rahisi sana TFF wanasemaje kuhusu hilo maana hizi Timu zinapewa pesa na wadhamini inakuaje wakawa na madeni makubwa wakati pesa ya mdhamini walipewa..
Ile match yao zidi ya 5imba ichunguzwe,ile rushwa wazi wazi.
 
Jemedari hata Simba huwa anaikanyagia sana pale anapoona inapozingua.

Sema nachokiona watu wa Yanga wengi wamerithishwa chuki na Manara.

Mfano Jemedari akitoa maoni yake kuwa haioni Yanga kushinda mechi yao ya kesho, halafu mechi ikaisha na Yanga kushinda, mashabiki wa Yanga wote watamfuta jamaa na kuanza kumtukana.
Miaka ya kuanzia 2013 kuja juu Jemedari katika harakati zake uchwara za uwakala wa wachezaji alijaribu kuwarubuni Simon Msuva na Frank Domayo kuachana na Yanga huku yeye akijinadi atawasimamia na hakufanikiwa. Hii ni kutokana chuki aliyonayo dhidi ya Yanga na hakuishia hapo keshajaribu kwa wachezaji wengi tu wa Yanga.

Kuhusu kuikandia Simba inafanyika kujaribu kubalance asionekane maana hata namna ya uwasilishaji wake atajaribu kuipaka rangi Simba huku anakandia lakini kwa Yanga anaingiza hadi habari za uongo nafsi yake chafu ifurahi
 
Back
Top Bottom