Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imemtaka msemaji wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa, Mathias Gillmann kuondoka Nchini humo haraka iwezekanavyo baada ya Wizara ya Mambo ya Nje kumshutumu kwa kutoa "taarifa zisizoeleweka na zisizofaa" kuhusiana na Nchi hiyo
Takriban watu 30 waliripotiwa kufariki Wiki iliyopita, kutokana na Maandamano ya Kupinga uwepo wa Walinda Amani hao waliolalamikiwa kushindwa kukomesha mashambulizi ya vikundi vya Waasi kwa zaidi ya Miaka 20
....................................................
The Democratic Republic of Congo has called for the spokesman of the UN peacekeeping force in the country to leave as soon as possible.
The foreign ministry accused Mathias Gillmann of making "indelicate and inopportune statements".
Last week, the UN force, known as Monusco, became the focus of violent protests in eastern DR Congo.
About 30 people, including four UN peacekeepers and police personnel, died during the unrest.
The demonstrators complained that the UN mission had failed to halt a resurgence of violence by rebels, more than two decades after it was first deployed.
Source: BBC
Takriban watu 30 waliripotiwa kufariki Wiki iliyopita, kutokana na Maandamano ya Kupinga uwepo wa Walinda Amani hao waliolalamikiwa kushindwa kukomesha mashambulizi ya vikundi vya Waasi kwa zaidi ya Miaka 20
....................................................
The Democratic Republic of Congo has called for the spokesman of the UN peacekeeping force in the country to leave as soon as possible.
The foreign ministry accused Mathias Gillmann of making "indelicate and inopportune statements".
Last week, the UN force, known as Monusco, became the focus of violent protests in eastern DR Congo.
About 30 people, including four UN peacekeepers and police personnel, died during the unrest.
The demonstrators complained that the UN mission had failed to halt a resurgence of violence by rebels, more than two decades after it was first deployed.
Source: BBC