Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Bongo bana…. Huyu shabiki wa mnyamba kbs anaongea kirundi aonekaneametokea Bujumbura kumbe kwa macheni hapo migomigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaahahaaaJambo jema
Aahaaaamafala hao yanga wana ngekewa
kwanini wasicheze kwao mechi yapili?
Ngoja tusubiri isije ikawa tabulele yaani mechi ya tarehe 17 wakapigwa na ya tarehe,24Ye haogopi?
Huyu anampango tu wa kuondokaMsemaji wa Timu ya Vital’O ya Burundi, Arsene Bucuti @arsene_bucuti amesema iwapo Yanga itaifunga Vital’O kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa atajiuzulu kuwa msemaji wa timu hiyo.
Bucuti ameyasema hayo kwenye kipindi cha radio cha Sports Arena cha Wasafi FM.
Vital’O itawaalika Yanga kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Agosti 17, 2024 kwenye Dimba la Azam Complex, Dar es Salaam.
@bintiiringo
#WasafiSports
NB: tunaomba makolo muwape hints kidogo hawa Vital'o [emoji3063][emoji3063]View attachment 3069573
Ametengeneza historia,hata mchezaji kakoleza kwamba watashinda tusubiri tuone inawezekana wana siri ya mtungiHuyu anampango tu wa kuondoka
Huyu anaonekana ameshaichoka hiyo kazi yake. Na hivyo ameona aitumie Yanga kama kisingizio.Msemaji wa Timu ya Vital’O ya Burundi, Arsene Bucuti @arsene_bucuti amesema iwapo Yanga itaifunga Vital’O kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa atajiuzulu kuwa msemaji wa timu hiyo.
Bucuti ameyasema hayo kwenye kipindi cha radio cha Sports Arena cha Wasafi FM.
Vital’O itawaalika Yanga kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Agosti 17, 2024 kwenye Dimba la Azam Complex, Dar es Salaam.
@bintiiringo
#WasafiSports
NB: tunaomba makolo muwape hints kidogo hawa Vital'o [emoji3063][emoji3063]View attachment 3069573