Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
Sio lazima kulipa kwa wakati kama alivyofanya Haji, Bumbuli hakuridhika na maamuzi akaiandikia tff barua ili apewe maelezo na utaratibu wa rufaa kwa mujibu wa Yanga mpaka leo barua haikujibiwa. Kama wamemuonea sawa kama wamefata taratibu sawa.Wewe unaamini vipi Kama kweli yanga walimpa pesa?
Tatizo lake hakulipa pesa wala kukata rufaa ya uamuzi wa tff. Na adhabu wametoa kulingana na sheria, mbona sisi haji kesho yake tu alienda kulipa. Yanga hamkumlipia mapema kwa sababu mlikuwa mnatafuta sababu ya kumuacha mbaki na nugaz tu
Let's wait, na tuone bumbuli ata react vipi na hicho ndicho kitafunua ukweli
Hiki ni kielelezo cha IQ yako by far anfmd large.View attachment 1687785
Inatia huruma Sana Na Inauma Sanaa Kuona Msemaji wa Club kubwa ya Wananchi anafungiwa Kwa miaka 3 kwasababu Ya Maadili.
Inauma Kwasababu anashindwa Kulipa Tsh Millioni Tano
Hii inaonesha Umaskini Wa Hali ya Juu kwa Wafanyakazi wa hivi Vilabu na Timu zao.
Timu ya Wananchi Sio Ya Kushindwa Kulipa milioni 5 unless Walikuwa Hawamtakii Jamaa Na Walikuwa wanatafuta Namna Ya Kumuondoa
Pole Sana Bumbuli kwa Kusalitiwa na Timu Yako
Kweli Kubishana Na Yanga Ni Kupoteza Muda.
Atakula jeuri yakeView attachment 1687785
Inatia huruma Sana Na Inauma Sanaa Kuona Msemaji wa Club kubwa ya Wananchi anafungiwa Kwa miaka 3 kwasababu Ya Maadili.
Inauma Kwasababu anashindwa Kulipa Tsh Millioni Tano
Hii inaonesha Umaskini Wa Hali ya Juu kwa Wafanyakazi wa hivi Vilabu na Timu zao.
Timu ya Wananchi Sio Ya Kushindwa Kulipa milioni 5 unless Walikuwa Hawamtakii Jamaa Na Walikuwa wanatafuta Namna Ya Kumuondoa
Pole Sana Bumbuli kwa Kusalitiwa na Timu Yako
Kweli Kubishana Na Yanga Ni Kupoteza Muda.
Mimi shabiki wa Simba..
But unamfungiaje mtu miaka mitatu?
Aache kazi au aachishwe?
Wangempa faini ambayo angeweza lipa
Wamelipa nje ya MudaMbona Yanga wamelipa
Nyie ma chura hamna cashMbumbumbu fc wamefurahi kweli!!
Usimchanganye na Antonio Nugaz was clouds. Nugaz in muhamasishaji, Bumbuli ni msemaji wa timu.