Msemaji wa Yanga afungiwa kujihusisha na shughuli za mpira wa miguu kwa miaka 3

Msemaji wa Yanga afungiwa kujihusisha na shughuli za mpira wa miguu kwa miaka 3

Wewe unaamini vipi Kama kweli yanga walimpa pesa?

Tatizo lake hakulipa pesa wala kukata rufaa ya uamuzi wa tff. Na adhabu wametoa kulingana na sheria, mbona sisi haji kesho yake tu alienda kulipa. Yanga hamkumlipia mapema kwa sababu mlikuwa mnatafuta sababu ya kumuacha mbaki na nugaz tu

Let's wait, na tuone bumbuli ata react vipi na hicho ndicho kitafunua ukweli
Sio lazima kulipa kwa wakati kama alivyofanya Haji, Bumbuli hakuridhika na maamuzi akaiandikia tff barua ili apewe maelezo na utaratibu wa rufaa kwa mujibu wa Yanga mpaka leo barua haikujibiwa. Kama wamemuonea sawa kama wamefata taratibu sawa.
 
View attachment 1687785
Inatia huruma Sana Na Inauma Sanaa Kuona Msemaji wa Club kubwa ya Wananchi anafungiwa Kwa miaka 3 kwasababu Ya Maadili.

Inauma Kwasababu anashindwa Kulipa Tsh Millioni Tano

Hii inaonesha Umaskini Wa Hali ya Juu kwa Wafanyakazi wa hivi Vilabu na Timu zao.

Timu ya Wananchi Sio Ya Kushindwa Kulipa milioni 5 unless Walikuwa Hawamtakii Jamaa Na Walikuwa wanatafuta Namna Ya Kumuondoa

Pole Sana Bumbuli kwa Kusalitiwa na Timu Yako

Kweli Kubishana Na Yanga Ni Kupoteza Muda.
Hiki ni kielelezo cha IQ yako by far anfmd large.
 
View attachment 1687785
Inatia huruma Sana Na Inauma Sanaa Kuona Msemaji wa Club kubwa ya Wananchi anafungiwa Kwa miaka 3 kwasababu Ya Maadili.

Inauma Kwasababu anashindwa Kulipa Tsh Millioni Tano

Hii inaonesha Umaskini Wa Hali ya Juu kwa Wafanyakazi wa hivi Vilabu na Timu zao.

Timu ya Wananchi Sio Ya Kushindwa Kulipa milioni 5 unless Walikuwa Hawamtakii Jamaa Na Walikuwa wanatafuta Namna Ya Kumuondoa

Pole Sana Bumbuli kwa Kusalitiwa na Timu Yako

Kweli Kubishana Na Yanga Ni Kupoteza Muda.
Atakula jeuri yake
 
Mimi shabiki wa Simba..
But unamfungiaje mtu miaka mitatu?
Aache kazi au aachishwe?

Wangempa faini ambayo angeweza lipa


!
!
Hata mimi ni simba damu ila hizi adhabu ni za kukomoana. Huwezi kupanga adhabu kubwa hivyo. Wajiulize hao wanakamati kama wao binafsi wangeweza kulipa hizo gharama? halafu kutojihusisha na mpira wa miguu maana yake nini! kwamba hata asicheze mpira na watoto wake nyumbani kwake au? wapumbavu sana Tanzania Football Failures
 
Nao Tff waangalie sana hili suala la faini inawezekana hiyo posho ya vikao we mtu unampiga faini milioni tano wewe unazo hizo hivi kwa uzembe wanaofanya Tff kiasi gani wao wangepigwa kule kukalia rufaa za vilabu kwa muda mrefu nani awapige faini? Fikiria sana jambo na faini mnazotoa kwa vilabu au mtu binafsi
 
Back
Top Bottom