Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe, zile Keki Kubwa 50 ulizoenda nazo Mbarali Mbeya umezila zote peke yako?

Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe, zile Keki Kubwa 50 ulizoenda nazo Mbarali Mbeya umezila zote peke yako?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mwenyewe ulipanga uweke Historia pale Uwanjani Highland Estate Mbarali kama Yanga SC yako ingeshinda Mchezo wake wa 50 bila Kufungwa basi umuagize Dereva aingize Gari Uwanjani na mzigawe kwa Mashabiki wenu ili Wazisasambue kwa Mikogo yenu mingi kama Kawaida yenu.

Haya jana Jezi zenu Maalum za Unbeaten Record ya Mechi 50 bila Kufungwa mlizichoma Moto kwa Aibu na zingine Kugawa kwa wana Yanga SC wazipigie Deki Sebuleni na Vyooni mwao je, hizi Keki Kubwa 50 mlizoziandaa mmezipeleka wapi kwani wana Yanga SC wenye Majonzi Mbarali, Mbeya Mjini na hasa hapa Dar es Salaam wanazitaka ili wazinywee Chai pamoja na Mihogo yenu mliyoizoea Kula kama Nguruwe Pori.

Asanteni Ihefu FC kwa Kumbikiri Mtu.
 
Kapimeni afya maana inaonyesha mlikuwa na maumivu makali sana ya unbeaten za Yanga
 
Duh ko waliandaa jezi za kuingilia makundi vikabuma,jana waliandaa hadi keki kabisa na jezi za unbeaten 50,vimebuma tena????[emoji848][emoji848][emoji848]muachage kihelehele nyie mihogo fc
 
Mm bado nacheka cake 50 daaah kuna mashabiki huko wanashindia mihogo according to prezdaa.... wange wa upgrade nao wale burger kuliko kutumia hela hovyo..
 
Hii au?
JamiiForums-1763698977.jpg
 
Duh ko waliandaa jezi za kuingilia makundi vikabuma,jana waliandaa hadi keki kabisa na jezi za unbeaten 50,vimebuma tena????[emoji848][emoji848][emoji848]muachage kihelehele nyie mihogo fc
Keki ya Unbeaten 50 hii hapa ambayo ilisahauliwa uwanjani..! Gongowazi kwa Mbwembwe hamjambo..!
20221130_192252.jpg
 
Back
Top Bottom