GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mkuu, acha kumchonganisha! Wakati huu ni wa kufarijiana, sio kukosanisha WAPENDANAO!Naona hadi umewaahidi Watu kadhaa Lunch Offer baadae Mchana hapo Posta.
MImi Rafiki yako Mkubwa na Mdau wako wa Habari na Mawasiliano naomba kujua hii Furaha yako imetokana na nini?.
Hebu shea nami basi Comrade Oky?
Nipo nae Jirani na najua akifanyacho.Mkuu, acha kumchonganisha! Wakati huu ni wa kufarijiana, sio kukosanisha WAPENDANAO!
Miaka Miwili tu na 20 Milion Tshs Fine.Kama mwanaume tu ni mbea kiasi kiasi, ungeumbwa mwanamke sijui ingekuaje maana ungekuwa mgombanishi wa ndoa za watu kinoma noma. Unajiona una sifa ya ujuaji kumbe hujui kuwa unajipakazia sifa ya umbea
Bumbuli alitumia uchawi unaoitwa sakizi,yaani ukirogwa unaweza hata kwenda kunya pale kwenye gate la Lugalo Barracks.Mkuu, acha kumchonganisha! Wakati huu ni wa kufarijiana, sio kukosanisha WAPENDANAO!
Hiyo adhabu manara atainavigateNaona hadi umewaahidi Watu kadhaa Lunch Offer baadae Mchana hapo Posta.
MImi Rafiki yako Mkubwa na Mdau wako wa Habari na Mawasiliano naomba kujua hii Furaha yako imetokana na nini?.
Hebu shea nami basi Comrade Oky?
[emoji23][emoji23][emoji23]Bumbuli alitumia uchawi unaoitwa sakizi,yaani ukirogwa unaweza hata kwenda kunya pale kwenye gate la Lugalo Barracks.
Angekuwa mwanamke au Ni mwanamke so far. Unafikiri Kuna mwanaume anawezakuwa na ta bia km huyu jamaa?Kama mwanaume tu ni mbea kiasi kiasi, ungeumbwa mwanamke sijui ingekuaje maana ungekuwa mgombanishi wa ndoa za watu kinoma noma. Unajiona una sifa ya ujuaji kumbe hujui kuwa unajipakazia sifa ya umbea