ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Ngao ya refa?Tulikutana kule mkwakwani uliishiia kupiga back pass tu na ukafa kwa matuta kiufupi yanga kumfunga simba labda robertinyo aondoke maana kila mechi amewakanda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngao ya refa?Tulikutana kule mkwakwani uliishiia kupiga back pass tu na ukafa kwa matuta kiufupi yanga kumfunga simba labda robertinyo aondoke maana kila mechi amewakanda.
Hoja yako ni dhaifu! Kwa hiyo na nyinyi mlipowafunga, walikuwa ni simba B!! Na Azam nao walipowafunga, walikuwa ni Azam B!!View attachment 2795575
Msemaji wa Singida BS Hussein Massanza tulipokutana Singida nilikwambia uache kuwasumbua watu kwamba mtaifunga Yanga. Nilikuuliza mtashindaje ikiwa mnacheza kwa maelekezo? Mzee wa Jambia kaiweka vizuri, ni bora muwe mnaenda tu TFF kusaini matokeo mnayokubaliana badala ya kuleta mashabiki kutazama maigizo
Sasa mpira tumeuona, njoo hapa uthibitishe maneno yangu kuwa nyinyi ni Yanga ya Mkoani. Katika kuthibitisha hilo waambie watu kiwango mlichoonyesha mechi ya Simba na hii ya dada zenu.
Jumamosi maafisa Wenye CPA hawaendi ofisini.Mwasibu leo hujaenda ofisini?
Naunga mkono hoja 👍👏MATOKEO YA SINGIDA FG MSIMU HUU... NBC PREMIER LEAGUE
1. Singida 0 Tanzania prisons 0
2. Singida 0 Tabora Utd 0
3. Azam 2 Singida 1
4. Mtibwa 0 Singida 1
5. Singida 1 Simba 2
6. Namungo 2 Singida 3
7. Yanga 2 Singida 0
Kabla ya kucheza na Yanga, Singida alikua amecheza game sita.... Kwenye hizo game sita kachezea vichapo viwili toka Kwa Azam na Kolo.. huku akidroo tena uwanja wa nyumbani game mbili na timu vibonde.... Sasa angewazaje kumfunga Yanga???
Rage apewe TUZO [emoji16]
HahahaNikirepoti kutoka bunju mimi ni mwasibu wa ITV