Msemo Fyatu: Kwenye wingi wa maji safi, Mpumbavu Hufa kwa Kiu....Una Ukweli?

Msemo Fyatu: Kwenye wingi wa maji safi, Mpumbavu Hufa kwa Kiu....Una Ukweli?

Labda niulize sehemu nyingine nchini hali ikoje kuhusu maji na umeme?
 
Mawaziri wa pwani? Waswahili?..ina maana matatizo ya umeme yanamhusu alie ingia mwezi mmoja Tu?? Aliekaa miaka hapo hahusiki??..

Wakiwa waswahili lakini hawatoki pwani je?
Watafaa??

Au wa pwani lakini sio waswahili?
Hiyo wa pwani, Waswahili ni geresha tu .

Mla kiti Moto kuna aliowalenga hapo na chuki zake hizo zitakazo muua akiwa kinywa wazi na macho kama bulb.
 
Hakuna tatizo la maji, nionavyo tabia na matendo za walioshika hatamu ndio kikwazo namba moja tulichoncho, waziri akishakuwa na sifa ya upigaji halafu akaja kupewa madaraka unategemea nini?

Waziri huyo huyo akaja kukurupuka anatuambia hakuna winchi ya kubeba tani 26 wakati ukweli zipo mpaka za kubeba tani 75 huyu mtu utamuamini vipi? umeme unakatika hovyo tatizo hatuambiwi.

Hii yote ni mipango ya kijanja ya kuchelewesha/kuukwamisha na hatimaye kuumaliza kabisa huo mradi wa bwawa la Nyerere licha ya pesa nyingi iliyotumika mpaka sasa.

Makamba either kwa kushirikiana na Samia, au yeye binafsi, ana mipango yake ya zile "ndoto zake" na anajua fika ili kuzikamilisha hizo ndoto lazima atengeneze pesa za kutosha kuwahonga wajumbe wa chama chake ili wampitishe.

Napata mashaka pia na nia ya Rais kwa hili taifa, kwaninj kuanzisha mradi wa LNG wenye gharama kubwa $30 mil. muda huu ambao ujenzi wa Nyerere Dam unaendelea, hizo gharama za LNG kwanini zisielekezwe kumalizia ujenzi wa bwawa la Nyerere ambao kwanza? hana washauri wa kumwambia hili? au nae ndie anaamua kuweka "legacy" yake kwa kuwaumiza watanzania?

Sioni ni kwa namna gani kama taifa litaweza kusimamia miradi hii miwili mikubwa na yote ikakamilika, nachokiona kwa sasa kuna juhudi za lazima kuuzima mradi wa Bwawa la Nyerere ili LNG ishike hatamu, na safari za viongozi kutembelea huo mradi wa bwawa la Nyerere ni usanii mtupu, wanajua wazi akili zao sasa hivi wanawaza kitu kingine (LNG).
 
View attachment 2013292

Msemo huu nimeunyambua toka kwa msemo mashuhuri wa Bob Marley kuwa "in the abundance of water a fool is thirsty". Yaani, ukifa kwa kiu wakati unezungukwa na maji safi na salama tatizo ni upumbavu wako...yaani umeshindwa kubuni namna yoyote (hata kulamba kama mbwa) kuyafikisha maji kwenye kanwa lako.

Watu wanaililia serikali umeme na maji..watawala nao wanalia...tumeshindwaje kuvuna umeme wa jua, upepo, au mawimbi? Teknolojia ya renewable energy iko mbali sana na inayowezekana. Mji mpya wa serikali Dodoma ungeweka lengo la kutumia nishati mbadala (RE) kuliko kusubiri mabwawa yajae.

Tunaweza vipi kutengeneza mabwawa ya akiba ya maji ya mvua na mito na kuyafungulia kina cha mabwawa ya umeme kikianza kushuka? Je, tunaweza kuweka Sera katika kodi kwa makampuni na watu binafsi kutumia umeme wa jua au RE nyingine kama sehemu ya energy mixture yao? Kwa kadiri wanaongeza matumizi ya RE wanapata afueni mbalimbali za kodi, mitaji, na?

Swali fyatu kwa kwelini hili...hivi kweli Tanzania Kuna tatizo la ukosefu wa maji na nishati?

Au tumekuwa ni mpumbavu anayelalamikia kiu akiangalia ndoo ya maji safi na salama? Akiiomba serikali imtengenezee kata ya kunywea maji.

MM (Mwanakijiji Podcast Returning Soon)
 
Hakuna tatizo la maji, nionavyo tabia na matendo za walioshika hatamu ndio kikwazo namba moja tulichoncho, waziri akishakuwa na sifa ya upigaji halafu akaja kupewa madaraka unategemea nini?

Waziri huyo huyo akaja kukurupuka anatuambia hakuna winchi ya kubeba tani 26 wakati ukweli zipo mpaka za kubeba tani 75 huyu mtu utamuamini vipi? umeme unakatika hovyo tatizo hatuambiwi.

Hii yote ni mipango ya kijanja ya kuchelewesha/kuukwamisha na hatimaye kuumaliza kabisa huo mradi wa bwawa la Nyerere licha ya pesa nyingi iliyotumika mpaka sasa.

Makamba either kwa kushirikiana na Samia, au yeye binafsi, ana mipango yake ya zile "ndoto zake" na anajua fika ili kuzikamilisha hizo ndoto lazima atengeneze pesa za kutosha kuwahonga wajumbe wa chama chake ili wampitishe.

Na njia nzuri zaidi ya kuzipata hizo pesa kwake ni kushadadia mradi wa LNG, hapa ndio anajua atapiga vizuri kuanzia hatua za awali, na nionavyo bila hii mipango ya LNG kufa, sioni ni kwa namna gani kama taifa litaweza kuendesha miradi miwili mikubwa yenye gharama kubwa kwa wakati mmoja, huu ni wizi wa makusudi wanatufanyia hawa viumbe wasio na aibu.
That is all about.
 
View attachment 2013292

Msemo huu nimeunyambua toka kwa msemo mashuhuri wa Bob Marley kuwa "in the abundance of water a fool is thirsty". Yaani, ukifa kwa kiu wakati unezungukwa na maji safi na salama tatizo ni upumbavu wako...yaani umeshindwa kubuni namna yoyote (hata kulamba kama mbwa) kuyafikisha maji kwenye kanwa lako.

Watu wanaililia serikali umeme na maji..watawala nao wanalia...tumeshindwaje kuvuna umeme wa jua, upepo, au mawimbi? Teknolojia ya renewable energy iko mbali sana na inayowezekana. Mji mpya wa serikali Dodoma ungeweka lengo la kutumia nishati mbadala (RE) kuliko kusubiri mabwawa yajae.

Tunaweza vipi kutengeneza mabwawa ya akiba ya maji ya mvua na mito na kuyafungulia kina cha mabwawa ya umeme kikianza kushuka? Je, tunaweza kuweka Sera katika kodi kwa makampuni na watu binafsi kutumia umeme wa jua au RE nyingine kama sehemu ya energy mixture yao? Kwa kadiri wanaongeza matumizi ya RE wanapata afueni mbalimbali za kodi, mitaji, na?

Swali fyatu kwa kwelini hili...hivi kweli Tanzania Kuna tatizo la ukosefu wa maji na nishati?

Au tumekuwa ni mpumbavu anayelalamikia kiu akiangalia ndoo ya maji safi na salama? Akiiomba serikali imtengenezee kata ya kunywea maji.

MM (Mwanakijiji Podcast Returning Soon)
MKUU, NAONA HATA MACHOZI YAKITOKA , NIMESHINDWA KUKUJIBU , ILA NITAKUJA BAADAE
 
Nakumbuka kabla ya awamu ya 5 aya matatizo yalikua kwa kiasi kikubwa na walitumia upenyo huo kutupiga sawasawa, na ilikua ni uhujumu
Mfano Kidatu walikua wakifungulia maji maksudi ili kuonekane amna maji....

Lakin baada ya kuingia Magu yalikoma kabisa, ametangulia kidogo yamerudi kama awali kwa sababu zisizo na mashiko..... Tunaamin ni yale yale tu kutengeneza tatizo watupige ndo maana ata walimtoa Kalemani na wadau wote ili waaanze vitu vyao.....! Otherwise watuambie shida ya Kalemani ni nini, na uyu msambaa anafanya nini?

Inaudhi sana
 
Nakumbuka kabla ya awamu ya 5 aya matatizo yalikua kwa kiasi kikubwa na walitumia upenyo huo kutupiga sawasawa, na ilikua ni uhujumu
Mfano Kidatu walikua wakifungulia maji maksudi ili kuonekane amna maji....

Lakin baada ya kuingia Magu yalikoma kabisa, ametangulia kidogo yamerudi kama awali kwa sababu zisizo na mashiko..... Tunaamin ni yale yale tu kutengeneza tatizo watupige ndo maana ata walimtoa Kalemani na wadau wote ili waaanze vitu vyao.....! Otherwise watuambie shida ya Kalemani ni nini, na uyu msambaa anafanya nini?

Inaudhi sana
Hawa jamaa akili zao zinafanana halafu wanadhani watanzania ni wajinga, halafu wakiambiwa nchi inaongozwa kutoka Msoga wanakuwa wakali.
 
View attachment 2013292

Msemo huu nimeunyambua toka kwa msemo mashuhuri wa Bob Marley kuwa "in the abundance of water a fool is thirsty". Yaani, ukifa kwa kiu wakati unezungukwa na maji safi na salama tatizo ni upumbavu wako...yaani umeshindwa kubuni namna yoyote (hata kulamba kama mbwa) kuyafikisha maji kwenye kanwa lako.

Watu wanaililia serikali umeme na maji..watawala nao wanalia...tumeshindwaje kuvuna umeme wa jua, upepo, au mawimbi? Teknolojia ya renewable energy iko mbali sana na inayowezekana. Mji mpya wa serikali Dodoma ungeweka lengo la kutumia nishati mbadala (RE) kuliko kusubiri mabwawa yajae.

Tunaweza vipi kutengeneza mabwawa ya akiba ya maji ya mvua na mito na kuyafungulia kina cha mabwawa ya umeme kikianza kushuka? Je, tunaweza kuweka Sera katika kodi kwa makampuni na watu binafsi kutumia umeme wa jua au RE nyingine kama sehemu ya energy mixture yao? Kwa kadiri wanaongeza matumizi ya RE wanapata afueni mbalimbali za kodi, mitaji, na?

Swali fyatu kwa kwelini hili...hivi kweli Tanzania Kuna tatizo la ukosefu wa maji na nishati?

Au tumekuwa ni mpumbavu anayelalamikia kiu akiangalia ndoo ya maji safi na salama? Akiiomba serikali imtengenezee kata ya kunywea maji.

MM (Mwanakijiji Podcast Returning Soon)
MKUU, SWALA NI KUKOSA VIONGOZI WENYE UTASHI WA KWELI KABISA KUTUPELEKA MBELE, WALITOKEA WAKATI ULE HADI LEO HAJATOKEA HATA MMOJA WAPO. WA KWANZA ALIKUWA NAMBA MBILI TOKA JKN ALISHIRIKIANA NA WAZIRI WA KILIMO WAKATI ULE BWANA MACHUNDA, IKAZALIWA THE BIG FIVE, RETCOS KWA HISANI YA JAICA ZIKAINGIA , FITINA IKAPIGA HODI, UWAZIRI UKAISHA HAKUKUMBUKWA TENA, ALIYEBAKI MUNGU AKAMPENDA ZAIDI. JUZI TU MIAKA MINNE ILIYOPITA, MCHINA ALIKUJA AKITOKEA ETHIOPIA , AKAKAGUA HADI PANAPOTELEMSHIWA MIZIGO ILI AKILETA VIFAA VISIKWAME, AKAENDA SINGLE DAR KUKAGUA SITE, AKARUDI , AKAENDA KWAO KWA AHADI KUWA ATANIPA MUDA WA KUANZA MAANDALIZI YA KUPOKEA VIFAA. WIKI ZIKAISHA TAARIFA ILIYOKUJA NI KWAMBA , PROJECT CANCELLED. BAADAYE IKAJULIKANA KUWA WANAGOMEA MMILIKI WA PROJECT HAPA KWETU, BIG BOSS AKAONA ISIWE TAABU , BABIANI KOSA SISI KOSA. UTASHI HAKUNA
 
View attachment 2013292

Msemo huu nimeunyambua toka kwa msemo mashuhuri wa Bob Marley kuwa "in the abundance of water a fool is thirsty". Yaani, ukifa kwa kiu wakati unezungukwa na maji safi na salama tatizo ni upumbavu wako...yaani umeshindwa kubuni namna yoyote (hata kulamba kama mbwa) kuyafikisha maji kwenye kanwa lako.

Watu wanaililia serikali umeme na maji..watawala nao wanalia...tumeshindwaje kuvuna umeme wa jua, upepo, au mawimbi? Teknolojia ya renewable energy iko mbali sana na inayowezekana. Mji mpya wa serikali Dodoma ungeweka lengo la kutumia nishati mbadala (RE) kuliko kusubiri mabwawa yajae.

Tunaweza vipi kutengeneza mabwawa ya akiba ya maji ya mvua na mito na kuyafungulia kina cha mabwawa ya umeme kikianza kushuka? Je, tunaweza kuweka Sera katika kodi kwa makampuni na watu binafsi kutumia umeme wa jua au RE nyingine kama sehemu ya energy mixture yao? Kwa kadiri wanaongeza matumizi ya RE wanapata afueni mbalimbali za kodi, mitaji, na?

Swali fyatu kwa kwelini hili...hivi kweli Tanzania Kuna tatizo la ukosefu wa maji na nishati?

Au tumekuwa ni mpumbavu anayelalamikia kiu akiangalia ndoo ya maji safi na salama? Akiiomba serikali imtengenezee kata ya kunywea maji.

MM (Mwanakijiji Podcast Returning Soon)
Acha ku overthink tuna Rais Kilaza na MVIVU, simple.
 
Back
Top Bottom