adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Habari za muda huu wana Jf.
Wiki hii nikipita karibia kila mitandaoni naona msemo wa 'afutatu' unatembea sana, kwenye status, memes nk mpaka imekuwa kama upuuzi fulani.
Nimepata shauku ya kujua imeanza vipi mpaka kupata muitikio mkubwa kiasi hiki na kushika trend ya mitandao ya kibongo?
Picha za kusindikizia uzi hizo hapo chini.
#UziTayari
Wiki hii nikipita karibia kila mitandaoni naona msemo wa 'afutatu' unatembea sana, kwenye status, memes nk mpaka imekuwa kama upuuzi fulani.
Nimepata shauku ya kujua imeanza vipi mpaka kupata muitikio mkubwa kiasi hiki na kushika trend ya mitandao ya kibongo?
Picha za kusindikizia uzi hizo hapo chini.
#UziTayari