Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambumbumbu ya mtandaoni hayawezi kukuelewa.Watanzania wengi ni "wasahaulifu" pia wanapenda kujadili issues zisizo na maana wala mustakabali wa maisha yao ya kila siku kwa kisingizio cha kutoa "stress"
Mfano kwa sasa mada motomoto ni ukosefu wa maji na umeme so huwa kuna watu kazi yao ni kuleta vitu kama hivyo ambavyo vitashabikiwa na wengi na hivyo kupoteza lengo kuu ya mambo la msingi yanayowakabili watu.
Hii ndio inaitwa "spinning" na watu wapo maalum kwa kazi hiyo.
Hii ya cuba alianzishaga mtangazaji wa clouds leo tena Jose Mara sasa hadi watangazaji wa redio zingine nao wameigaUnataka ujue upuuzi,
Kuna nyingne sijui inasema
"Kwa waliosoma cuba wataelewa" juzi nilishangaa mpka msibani mtu mzima akaitumia,
Na uwanja wa fisiAfu tatu.bei ya mbususu tandika
Kweli kabisa,Usikute Hata manara kukacha Simba Ni mipango ya watu.Watanzania wengi ni "wasahaulifu" pia wanapenda kujadili issues zisizo na maana wala mustakabali wa maisha yao ya kila siku kwa kisingizio cha kutoa "stress"
Mfano kwa sasa mada motomoto ni ukosefu wa maji na umeme so huwa kuna watu kazi yao ni kuleta vitu kama hivyo ambavyo vitashabikiwa na wengi na hivyo kupoteza lengo kuu ya mambo la msingi yanayowakabili watu.
Hii ndio inaitwa "spinning" na watu wapo maalum kwa kazi hiyo.
🤣🤣🤣 bongo ukifa kwa stress umejitakia mwenyeweNimepata baadhi ya video ila hawajasema afutatu kama wabongo wanavyokuza mambo.
View attachment 2412679
Hii kazi huenda ina malipo makubwa sana maana watu wake wanafanya kazi ipasavyo.Watanzania wengi ni "wasahaulifu" pia wanapenda kujadili issues zisizo na maana wala mustakabali wa maisha yao ya kila siku kwa kisingizio cha kutoa "stress"
Mfano kwa sasa mada motomoto ni ukosefu wa maji na umeme so huwa kuna watu kazi yao ni kuleta vitu kama hivyo ambavyo vitashabikiwa na wengi na hivyo kupoteza lengo kuu ya mambo la msingi yanayowakabili watu.
Hii ndio inaitwa "spinning" na watu wapo maalum kwa kazi hiyo.
Ukute ndio wameleta ajali ya ndege.Watanzania wengi ni "wasahaulifu" pia wanapenda kujadili issues zisizo na maana wala mustakabali wa maisha yao ya kila siku kwa kisingizio cha kutoa "stress"
Mfano kwa sasa mada motomoto ni ukosefu wa maji na umeme so huwa kuna watu kazi yao ni kuleta vitu kama hivyo ambavyo vitashabikiwa na wengi na hivyo kupoteza lengo kuu ya mambo la msingi yanayowakabili watu.
Hii ndio inaitwa "spinning" na watu wapo maalum kwa kazi hiyo.
Basi labda zipo nyingi Ila me najua hii ni Mbunge wa geita mjini Musukuma alisema akiwa bungeniKifupi ni hivi'
Kuna clip inazagaa mtandaoni yaan mzee alienda mochwari kuchukua maiti alikua na AFTATU wahudumu wakamwambia ni zaidi ya MILLION...Akaanza kulia akisema amemkumbuka nyerere kama angekuepo angempa hyo maiti kwa AFTATU...
Kinachochekesha zaid alipewa juice kama kupoza maumivu,akaacha na kulia hapohapo....nenda kwenye instagram page ya ben paul ndio kapost.
Comment credit MAWEED nimesahau Uzi aliotolea ufafanuz huu
una aftatu nikwambie!Afutatu umetoka wapi?
View attachment 2412680
nafikiri ametrendi vile alivyoigeukia glasi hyo ya juisi baada ya kulia kwa sekunde..Nimepata baadhi ya video ila hawajasema afutatu kama wabongo wanavyokuza mambo.
View attachment 2412679