Msemo wa 'afutatu' unaovuma mitandaoni chanzo chake ni kipi?

Msemo wa 'afutatu' unaovuma mitandaoni chanzo chake ni kipi?

Kuna original video ya hiyo voice iko TikTok kuna mzee kaka chini kwenye bench hospital analalamika anasema eti sasa hivi hospital hawataki hata aftatu huku akijishika kichwa na mikono miwili kuchanganyikiwa hivi na utaratibu wa hapo hospital
 
Watanzania wengi ni "wasahaulifu" pia wanapenda kujadili issues zisizo na maana wala mustakabali wa maisha yao ya kila siku kwa kisingizio cha kutoa "stress"

Mfano kwa sasa mada motomoto ni ukosefu wa maji na umeme so huwa kuna watu kazi yao ni kuleta vitu kama hivyo ambavyo vitashabikiwa na wengi na hivyo kupoteza lengo kuu ya mambo la msingi yanayowakabili watu.

Hii ndio inaitwa "spinning" na watu wapo maalum kwa kazi hiyo.
Haya mambumbumbu ya mtandaoni hayawezi kukuelewa.

Kutwa kushabikia mipira na matakataka.

Wataendelea kupigwa sana. CCM itabaki miaka buku.
 
Unataka ujue upuuzi,
Kuna nyingne sijui inasema
"Kwa waliosoma cuba wataelewa" juzi nilishangaa mpka msibani mtu mzima akaitumia,
Hii ya cuba alianzishaga mtangazaji wa clouds leo tena Jose Mara sasa hadi watangazaji wa redio zingine nao wameiga

Nilichogundua redio inasikilizwa na kila mtu hata wafanyakaz wa redio zingine hawasikiliz redio zao
 
Watanzania wengi ni "wasahaulifu" pia wanapenda kujadili issues zisizo na maana wala mustakabali wa maisha yao ya kila siku kwa kisingizio cha kutoa "stress"

Mfano kwa sasa mada motomoto ni ukosefu wa maji na umeme so huwa kuna watu kazi yao ni kuleta vitu kama hivyo ambavyo vitashabikiwa na wengi na hivyo kupoteza lengo kuu ya mambo la msingi yanayowakabili watu.

Hii ndio inaitwa "spinning" na watu wapo maalum kwa kazi hiyo.
Kweli kabisa,Usikute Hata manara kukacha Simba Ni mipango ya watu.
 
Watanzania wengi ni "wasahaulifu" pia wanapenda kujadili issues zisizo na maana wala mustakabali wa maisha yao ya kila siku kwa kisingizio cha kutoa "stress"

Mfano kwa sasa mada motomoto ni ukosefu wa maji na umeme so huwa kuna watu kazi yao ni kuleta vitu kama hivyo ambavyo vitashabikiwa na wengi na hivyo kupoteza lengo kuu ya mambo la msingi yanayowakabili watu.

Hii ndio inaitwa "spinning" na watu wapo maalum kwa kazi hiyo.
Hii kazi huenda ina malipo makubwa sana maana watu wake wanafanya kazi ipasavyo.

La kukuzwa linakuzwa la kudogodishwa linakua dogo na wala halisikiki.
 
Watanzania wengi ni "wasahaulifu" pia wanapenda kujadili issues zisizo na maana wala mustakabali wa maisha yao ya kila siku kwa kisingizio cha kutoa "stress"

Mfano kwa sasa mada motomoto ni ukosefu wa maji na umeme so huwa kuna watu kazi yao ni kuleta vitu kama hivyo ambavyo vitashabikiwa na wengi na hivyo kupoteza lengo kuu ya mambo la msingi yanayowakabili watu.

Hii ndio inaitwa "spinning" na watu wapo maalum kwa kazi hiyo.
Ukute ndio wameleta ajali ya ndege.
 
Kifupi ni hivi'
Kuna clip inazagaa mtandaoni yaan mzee alienda mochwari kuchukua maiti alikua na AFTATU wahudumu wakamwambia ni zaidi ya MILLION...Akaanza kulia akisema amemkumbuka nyerere kama angekuepo angempa hyo maiti kwa AFTATU...

Kinachochekesha zaid alipewa juice kama kupoza maumivu,akaacha na kulia hapohapo....nenda kwenye instagram page ya ben paul ndio kapost.

Comment credit MAWEED nimesahau Uzi aliotolea ufafanuz huu
Basi labda zipo nyingi Ila me najua hii ni Mbunge wa geita mjini Musukuma alisema akiwa bungeni
-unakuta mtu unamuheshim vzuri kumbe mfukon hana ata afutatu
Ndo ilianzia hapo
 
Tangu ni unfollow page za upuuzi upuuzi naona Kuna upuuzi mwingi sana unanipita hata mimi hili suala la aftatu nimeliona lina trend sana lakin naendelea kuona ni kama upuuzi flan tu wa Sisi wa Tz kuwa serious na mambo ya kijinga
 
Back
Top Bottom