gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,920
- 6,081
Watu wanaposema "kama huna D mbili" utanielewa huwa wana maana gani?
Zamani nilikuwa naona pia humu JF watu wanakomenti sana DD kwenye nyuzi pia.
Ninavyo elewa mimi ni kuwa D mbili ukiwa nazo maana yake una division 4 ile ya mwisho kabisa form 4( IV ya 33), mwenye D moja au F zote huyo anaangukia kwenye division zero.
Kwa maana hiyo msemo ‘kama una D mbili’ unamaanisha ‘kama hukupata zero form 4’ basi utaelewa kinacho maanishwa ama kama hukupata zero basi una ufahamu wa kutosha kuelewa hii ‘code’