kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Kwa hili suala la ushoga ,namuona marekani kama kichaa au mwendawazimu anayejaribu kuwachokonoa watu wenye akili timamu kwa maneno ya kuudhi na matusi ya nguoni..,kwa mtu mwenye hekima na busara huwezi kurespond kwa vitendo vya mwendawazimu, maana nyote wawili mtaonekana ni wamoja tu,
Sioni sababu ya kulazimisha ushoga hadharani,Wala Sion sababu ya kupinga ushoga hadharani
Hivi nchi hambazo yazijaweka wazi misimamo Yao kuhusu ushoga mbona zimetulia tuli!?
Sio lazima kurespond kila jambo, sometimes silent is good answer,
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Sioni sababu ya kulazimisha ushoga hadharani,Wala Sion sababu ya kupinga ushoga hadharani
Hivi nchi hambazo yazijaweka wazi misimamo Yao kuhusu ushoga mbona zimetulia tuli!?
Sio lazima kurespond kila jambo, sometimes silent is good answer,
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app