Msg to Kiba..Hii Mwana sijui Dsm umepanick..Chorus,Theme r everywhere

Hivi kiba nae kabeba tuzoi etii!!!!

hajabeba tuzo hakushriki afu mbona kiba alikua kimya s ndo ametoa juzi wimbo
diamond hata akishinda haki yake kwa mwaka jana ila watu wanakuza beef dah
 

Umenena sawa kabisa big like
 
jamaa anakipaji cha mpira bora angehamia huko mziki akauacha tu..
 
Kwa mtazamo wangu nyimbo ni nzuri, kwa maana ya mashairi mazuri na inachezeka, hajachemka, labda kama ulikuwa na over expectation kutoka kwake. Daimond n Kiba are all doing good music, Just like CR7 n Messi in football.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hadi nawe povu teh teh ...

Hahaha binamu me sina team bana. Wote dai na kiba nawakubali. Sema hapo nilitoa tu ufafanuzi kuwa davido alikuwepo kwa upande wa west na artist of the year.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…