Msg to Kiba..Hii Mwana sijui Dsm umepanick..Chorus,Theme r everywhere

Msg to Kiba..Hii Mwana sijui Dsm umepanick..Chorus,Theme r everywhere

Hivi kiba nae kabeba tuzoi etii!!!!

hajabeba tuzo hakushriki afu mbona kiba alikua kimya s ndo ametoa juzi wimbo
diamond hata akishinda haki yake kwa mwaka jana ila watu wanakuza beef dah
 
Kiba Yuko Matured......Mziki Wake Lazima Ufanane Nae.....Yuko Very Composed.....Si Kwamba Ana Kipaji Saaaaana.,Sema Ni Mwimbaji Mzuri,Mwenye Imani Na Mziki Wake......Anaishi Maisha Yake.....Thats Why Anapendwa,Anagusa Watu...
BACK TO THE TOPIC
Mwana Ni Nyimbo Nzuri(SitaExxagerate Kuwa Ni Boooonge La Ngoma Kama Wengine)...Mwana Ina Sauti Tamu....Ina Ujumbe Huku Inachezeka,Ina Vionjo Wanavyovipenda Wachezaji Na Wanywaji......Ina Mpangilio Safi...InaRelate Na Dushelele (Thats Kiba)......Umekaa KiNgwasuma-Akudo Type....Kwanini Usipendwe?
Ukiusikiliza Kwa Lengo La Kuulinganisha Na Chibu...Utajikuta Kwenye Mihemuko Mingine.....Kiba Is Being Kiba....Tuheshimu Hilo.

Umenena sawa kabisa big like
 
jamaa anakipaji cha mpira bora angehamia huko mziki akauacha tu..
 
Kwa mtazamo wangu nyimbo ni nzuri, kwa maana ya mashairi mazuri na inachezeka, hajachemka, labda kama ulikuwa na over expectation kutoka kwake. Daimond n Kiba are all doing good music, Just like CR7 n Messi in football.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hadi nawe povu teh teh ...

Hahaha binamu me sina team bana. Wote dai na kiba nawakubali. Sema hapo nilitoa tu ufafanuzi kuwa davido alikuwepo kwa upande wa west na artist of the year.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom