Ntakasi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 1,428
- 456
Hivi kiba nae kabeba tuzoi etii!!!!
Tuzo Hata Mpoki Anayo....Chezea Fitna Weweeee.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kiba nae kabeba tuzoi etii!!!!
Hivi kiba nae kabeba tuzoi etii!!!!
Kiba Yuko Matured......Mziki Wake Lazima Ufanane Nae.....Yuko Very Composed.....Si Kwamba Ana Kipaji Saaaaana.,Sema Ni Mwimbaji Mzuri,Mwenye Imani Na Mziki Wake......Anaishi Maisha Yake.....Thats Why Anapendwa,Anagusa Watu...
BACK TO THE TOPIC
Mwana Ni Nyimbo Nzuri(SitaExxagerate Kuwa Ni Boooonge La Ngoma Kama Wengine)...Mwana Ina Sauti Tamu....Ina Ujumbe Huku Inachezeka,Ina Vionjo Wanavyovipenda Wachezaji Na Wanywaji......Ina Mpangilio Safi...InaRelate Na Dushelele (Thats Kiba)......Umekaa KiNgwasuma-Akudo Type....Kwanini Usipendwe?
Ukiusikiliza Kwa Lengo La Kuulinganisha Na Chibu...Utajikuta Kwenye Mihemuko Mingine.....Kiba Is Being Kiba....Tuheshimu Hilo.
Davido alikuwepo?
Umeua...mkuu..
Mwingine kaweka ma satanic verses
Davido alikuwepo?
Hadi nawe povu teh teh ...