Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hapati sms alerts?Nimekutana na Mwalimu mmoja mida hii akienda Benki kucheki salio.
Ama kweli kuna watumishi mshahara ni zaidi ya roho zao. Unaachaje kufundisha ili unyatie mshahara ambao taarifa zisizo rasmi ni hadi Jumatatu ya wiki ijayo?
😂😂Nasubir sms hapa iingie zinakuja sms za patapata sijui sensa tabu tupu
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Sifa na ubora wa waalimu ulianza kuharibika baada ya kuanza kuruhusu felia nao kusomea ualimu.Daa wametukanwa sana hawa watu.
Aya basi nami niongezee,WALIMU NI WAJINGA!
Wewe unalipwa posho kamshahara kanajikalia benki mpaka basi, yeye halipwi posho kamshahara ka mwezi wa 6 kalijiishia tarehe 3 ya mwezi wa 7, sasa unataka awe kama wewe! Hao wanafunzi mwalimu akikosekana wanafurahi waache watoto wainjoi.Nimekutana na Mwalimu mmoja mida hii akienda Benki kucheki salio.
Ama kweli kuna watumishi mshahara ni zaidi ya roho zao. Unaachaje kufundisha ili unyatie mshahara ambao taarifa zisizo rasmi ni hadi Jumatatu ya wiki ijayo?