Legrema2050
JF-Expert Member
- Jun 5, 2021
- 606
- 708
Mleta mada anamsingizia mwalimu wakati ni yeye anataka kujua kama mshahara umetoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mwanzo walichukuliwa wenye kiwango gani??Sifa na ubora wa waalimu ulianza kuharibika baada ya kuanza kuruhusu felia nao kusomea ualimu.
#MaendeleoHayanaChama
😂😂😂Umezunguka sana,
Sema tu na wewe unataka kujua kama umetoka.
😀 😀 😀 😀daah watu mna majunguuNimekutana na Mwalimu mmoja mida hii akienda Benki kucheki salio.
Ama kweli kuna watumishi mshahara ni zaidi ya roho zao. Unaachaje kufundisha ili unyatie mshahara ambao taarifa zisizo rasmi ni hadi Jumatatu ya wiki ijayo?
Umezunguka sana,
Sema tu na wewe unataka kujua kama umetoka.
huna tofauti na anaye utukana uchi wa mama yake ulio mtoa kwa sababu hata hiyo jeuri ya kuwaita wajinga ni kwa sababu wamekufundisha kusoma na kuandika.Daa wametukanwa sana hawa watu.
Aya basi nami niongezee,WALIMU NI WAJINGA!
Ulivyo na akili fupi, unafikiri mwalimu ni yule tu aliyekufundisha darasani na pia kukulamba bakora kwa sababu ya u slow learner wako!Daa wametukanwa sana hawa watu.
Aya basi nami niongezee,WALIMU NI WAJINGA!
Mbona mshahara tayari tokea jana?Nasubir sms hapa iingie zinakuja sms za patapata sijui sensa tabu tupu
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Kabisa na pia kutofanyiwa interview. Kuna haja ya uhakikiSifa na ubora wa waalimu ulianza kuharibika baada ya kuanza kuruhusu felia nao kusomea ualimu.
#MaendeleoHayanaChama
Kwa nn mmekubali kuwa wajinga?Mimi hapa ni mwalimu. Ukiwasema walimu unanikwaza Sana.