Mshahara Julai 2022

Mshahara Julai 2022

Salary tayari mkuu, Kuna ongezeko kulingana la Tgts yako
 
Ulipotaja Walimu wanaofundisha Feza na kuona wao ni ''So Special'' nikachora mstari kuwa wewe ni fungu la kukosa. Usiniulize kwanini ila jua tu wewe hujui unachokizungumzia.
Huna uwezo wa kufundisha Feza
 
Huna uwezo wa kufundisha Feza
Huijui Feza unaisikia, naijua Feza way back 2006. Ukitaka kujua chochote kuhusu Feza nitafute nitakuambia halafu uje uwasimulie ngumbaru wenzako.
Kwanza sijasema Feza hakuna walimu wazuri ila usidhani kuna Special teachers kutoka mbinguni, wana recruit teachers kutoka shule hizo hizo unazozijua halafu wanawaandaa vizur kulingana na mazingira yao.
 
Walimu wapo wa aina mbili

Grade 1 na
Popote kambi.

Hapa tunazungumzia hawa wa popote kambi. Au unataka kijifananisha na mwalimu anayefundisha Feza?
Feza ipi?mbona inachukua walimu Hawa Hawa wa vyuo vya Kibongo,nawajua walimu waliotoka shule za kata kufundisha Feza
We jamaa kumbe una personal issue na walimu ngoja nikuache
 
Imeongezeka 20K TU . Serikali ya CCM haijawahi kuwa upande wa watumishi wa umma.
Jakaya mirisho Kikwete nakusalute. Mishahara wanayotembelea watumishi ni Ile uliyoiacha. Kama Kuna ongezeko halijazidi 70,000/- tangu uondoke madaraka 2015.wewe pekee uliwaona wafanyakazi.... Siku hizi ni makelele majukwaani na vyombo vya habari kuwa tunaongeza mshahara... Huku hata kiwango Cha kisheria Cha annual increment haikifikiwi hata nusu yake. JK uliwajali watumishi. Mungu akulinde kwa hili.
 
Kumbe wa feza boys si mwalimu. [emoji23][emoji23] punguani ni punguani tu. Kisa maza yako alikuwa mwl na haeleweki unahisi ni wote? Hao grade 1 walipta vyuo gani?
nilidhani mtu wa maana kumbe ni mjinga tuu!! hajielewi na Ana chuki binafsi
 
Mtapata tabu sana
 

Attachments

  • IMG-20220722-WA0013.jpg
    IMG-20220722-WA0013.jpg
    26.3 KB · Views: 6
Jakaya mirisho Kikwete nakusalute. Mishahara wanayotembelea watumishi ni Ile uliyoiacha. Kama Kuna ongezeko halijazidi 70,000/- tangu uondoke madaraka 2015.wewe pekee uliwaona wafanyakazi.... Siku hizi ni makelele majukwaani na vyombo vya habari kuwa tunaongeza mshahara... Huku hata kiwango Cha kisheria Cha annual increment haikifikiwi hata nusu yake. JK uliwajali watumishi. Mungu akulinde kwa hili.
Mungu ampiganie Sana maana tulijua tunamuona Hana kabisaa!Ila kinachotokea Sasa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nimekutana na Mwalimu mmoja mida hii akienda Benki kucheki salio.

Ama kweli kuna watumishi mshahara ni zaidi ya roho zao. Unaachaje kufundisha ili unyatie mshahara ambao taarifa zisizo rasmi ni hadi Jumatatu ya wiki ijayo?
There's dwarfism in thinking ability, actual proof [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huijui Feza unaisikia, naijua Feza way back 2006. Ukitaka kujua chochote kuhusu Feza nitafute nitakuambia halafu uje uwasimulie ngumbaru wenzako.
Kwanza sijasema Feza hakuna walimu wazuri ila usidhani kuna Special teachers kutoka mbinguni, wana recruit teachers kutoka shule hizo hizo unazozijua halafu wanawaandaa vizur kulingana na mazingira yao.
Huna uwezo wa kufundisha Feza
 
Ndio mnavyojifariji? Hakuna anayepata Div 1 advance akaenda ualimu. HAKUNA
Acha kuropoka unadhani kila MTU alifeli Kama wewe? Nyie ndiyo mmekariri walimu wanalipwa laki 3,fanya Utafiti Kwanza kabla ya kuropoka! Kumbe humu namo Kuna vilaza Kama wewe?
 
Nimekutana na Mwalimu mmoja mida hii akienda Benki kucheki salio.

Ama kweli kuna watumishi mshahara ni zaidi ya roho zao. Unaachaje kufundisha ili unyatie mshahara ambao taarifa zisizo rasmi ni hadi Jumatatu ya wiki ijayo?

Umekutana naye wewe ukiwa unatoka wapi? Si huko huko benki umetokea? Wacha janja janja ya kudanganya watu hapa! Hapo mfukoni tu nakuona una hela ya kupandia bajaji!
 
Nimekutana na Mwalimu mmoja mida hii akienda Benki kucheki salio.

Ama kweli kuna watumishi mshahara ni zaidi ya roho zao. Unaachaje kufundisha ili unyatie mshahara ambao taarifa zisizo rasmi ni hadi Jumatatu ya wiki ijayo?

Kwa kifupi mishahara imetoka jioni hii! Angalia kwenye simu yako!
 
Ndio mnavyojifariji? Hakuna anayepata Div 1 advance akaenda ualimu. HAKUNA
Na hao wa div. 1 na 2 ndio mabingwa wa kuzurura na bahasha za khaki kwenye ofisi za waliofeli wakiomba kibarua Cha ujira wa laki moja Kwa mwezi! Yaani wamewazidi machinga Kwa kuranda barabarani! Huenda nawe ni mmoja wao. Pole Yako wewe!
 
Back
Top Bottom