Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Ndio mnavyojifariji? Hakuna anayepata Div 1 advance akaenda ualimu. HAKUNA
Kuna mwalimu wetu mmoja advance nilikuwa namfahamu alipata division 1 form six enzi zake na form 4 alipata division 2.
Kuna watu wanapenda ualimu tu sio wengi ila wapo kabisa unakuta mtu amefaulu lakini dream job yake ni kuwa mwalimu
Inashangaza sana ujue[emoji1787][emoji1787][emoji1787]