Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ndio nimetoka kuukunja hapa. Huko mpaka makato ya miamala itimie!kuajiriwa tabu sana,mpigie simu boss
Sikukuu ambayo mishahara huwa inawahi ni moja tu Christmas....hizo zingine pambana tu na hali yakoWadau kama mjuavyo jumatano yaani kesho kutwa ndo siku kuu ya iddi je kuna uwezekano wa kupata mshahara kesho kwa ajili ya maandalizi ya iddi?
HakunaWadau kama mjuavyo jumatano yaani kesho kutwa ndo siku kuu ya iddi je kuna uwezekano wa kupata mshahara kesho kwa ajili ya maandalizi ya iddi?
🤣Wadau kama mjuavyo jumatano yaani kesho kutwa ndo siku kuu ya iddi je kuna uwezekano wa kupata mshahara kesho kwa ajili ya maandalizi ya iddi?
Uonevu huu lknSikukuu ambayo mishahara huwa inawahi ni moja tu Christmas....hizo zingine pambana tu na hali yako
Wadau kama mjuavyo jumatano yaani kesho kutwa ndo siku kuu ya iddi je kuna uwezekano wa kupata mshahara kesho kwa ajili ya maandalizi ya iddi?
Makusanyo yanaendelea tigo voda nk zikijaa mtapata!!Wadau kama mjuavyo jumatano yaani kesho kutwa ndo siku kuu ya iddi je kuna uwezekano wa kupata mshahara kesho kwa ajili ya maandalizi ya iddi?
Wadau kama mjuavyo jumatano yaani kesho kutwa ndo siku kuu ya iddi je kuna uwezekano wa kupata mshahara kesho kwa ajili ya maandalizi ya iddi?
Nnapofanyia kazi tangu jana tushachekaMakampuni yanayojielewa kesho yataanza kulipa mishahara ila makampuni ya JANJA JANJA JAZZ BAND wanapiga pass ndefu.
Kwani mkataba wako unataka payday ni lini..!? Payday yenu ina depence yoyote na sikukuu..!? Ingekuwa tarehe 12 Ndiyo Eid, ingekuwaje..!?Wadau kama mjuavyo jumatano yaani kesho kutwa ndo siku kuu ya iddi je kuna uwezekano wa kupata mshahara kesho kwa ajili ya maandalizi ya iddi?
kwa hiyo hata pasaka tunapambana na hali zetu duuuuuuuuSikukuu ambayo mishahara huwa inawahi ni moja tu Christmas....hizo zingine pambana tu na hali yako
Serikali haijawahi kulipa mshahara mapema kwenye sikukuu ya pasaka wala Eid.Mshahara unaolipwa mapema ni mmoja tu kwa mwaka ambao ni ule wa mwezi December.kwa hiyo hata pasaka tunapambana na hali zetu duuuuuuuu