1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Mbona tayar [emoji39]Serikali haijawahi kulipa mshahara mapema kwenye sikukuu ya pasaka wala Eid.Mshahara unaolipwa mapema ni mmoja tu kwa mwaka ambao ni ule wa mwezi December.
Utakua umeingiziwa na freemason 😂😂😂Mbona tayar [emoji39]
HahahaaUtakua umeingiziwa na freemason [emoji23][emoji23][emoji23]
Wadau kama mjuavyo jumatano yaani kesho kutwa ndo siku kuu ya iddi je kuna uwezekano wa kupata mshahara kesho kwa ajili ya maandalizi ya iddi?
TayariVp wakuu bado
[emoji23]Tayari
Uza tiGoWadau kama mjuavyo jumatano yaani kesho kutwa ndo siku kuu ya iddi je kuna uwezekano wa kupata mshahara kesho kwa ajili ya maandalizi ya iddi?
Sawa mchinaNiliko mimi waliingiza toka jana.