tryphone005
JF-Expert Member
- Jan 30, 2017
- 453
- 507
[emoji23] [emoji23] [emoji23] !Mshahara unaowindwa na HESLB?
15% ni kubwa sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] !
[emoji2] [emoji134]Uzushi tu, nimeangalia nmb hakuna
Mpendapombe siye wewe ulikuwa unatusimanga eti baa tunaagizaga soda na maji kama wanafunzi,wewe?Wafanyakazi wa serikalini mnaraha, nimetoka kumtembelea jamaa yangu anafurahi kupata mshahara Leo tarehe 20.
Hongereni Sie acha tuisome namba.
Kwa sababu ya sikukuu ya wafanyakazi tar 1Kuna taasisi wamepata na nyingine watapata kuanzia kesho. Mwezi huu wamewaisha sijui kuna nini.
Mshahara bado mkuu.Inaonesha una mdai mtumish wewe kuwa na subiraWafanyakazi wa serikalini mnaraha, nimetoka kumtembelea jamaa yangu anafurahi kupata mshahara Leo tarehe 20.
Hongereni Sie acha tuisome namba.
Mkuu ungetuambia ni tasisi gani leo wamewekewa huo mshahara?Wafanyakazi wa serikalini mnaraha, nimetoka kumtembelea jamaa yangu anafurahi kupata mshahara Leo tarehe 20.
Hongereni Sie acha tuisome namba.
Mkuu ungetuambia ni tasisi gani leo wamewekewa huo mshahara?
[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] jina lako tu lina akisi ukisemachoJamaa yangu ni dokta hapa hospitali ya Nzega, tunaendelea pata kilaji.
Mpendapombe siye wewe ulikuwa unatusimanga eti baa tunaagizaga soda na maji kama wanafunzi,wewe?
Wanasumbua sana halafu tarehe kumi ndembe ndembe kifo cha mende chaliiiiUgomvi wangu sitaki muongezewe mshahara mtatusumbua huku bar.
Nisawa tu mkuu kwani ukitoka tarehe 30 ni hadi tarehe 30 nyingine kwahiyo ni ngoma droosasa raha inatoka wapi ukitoka tarehe 20 mpaka tarehe 20 tena ya mwezi ujao
Tulia hii serikali ya viwango inayowajali wafanyakazi wake leo mambo yenu yanaweza kuwa mazuri ili muangalie matumizi.Hahahaahaa nimecheka maana nimejigundua siko peke yangu.............. Hivi hawa hazina hawaruhusiwi kuapply social analysis kweli?... walipaswa wajue sikukuu ya Pasaka imetuacha weupeeee... so wangetulipa mapema kwa kweli. (Ila ni funzo usiwe na chanzo kimoja cha income)
Sa hapo uliponambia tulia nani kakwambia nacheza sindimba au Mdumange?? maana ngoma ya Sindimba au Mdumange ndo mchezaji huwa hatulii......... au ulimaanisha Tulia Ackson?Tulia hii serikali ya viwango inayowajali wafanyakazi wake leo mambo yenu yanaweza kuwa mazuri ili muangalie matumizi.