Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bajaji za wapi?Kuna shangwe kuhusu tamko la serikali kuongeza mshahara 23.3% wakati ambao nauli ya bajaji na daladala na bajaji imepanda kutoka sh 500 hadi 800 sawa na 60%.
Kwaio unataka kusema nini mkuu?Kuna shangwe kuhusu tamko la serikali kuongeza mshahara 23.3% wakati ambao nauli ya bajaji na daladala na bajaji imepanda kutoka sh 500 hadi 800 sawa na 60%.
We jamaa mkorofi.ha ha haaJpm naye amepungua na kuoza.
Kuna shangwe kuhusu tamko la serikali kuongeza mshahara 23.3% wakati ambao nauli ya bajaji na daladala na bajaji imepanda kutoka sh 500 hadi 800 sawa na 60%.
Yule mzee alikuwa fiksi sana.
Kwa ku stage manage mambo na kuaminisha uongo, alikuwa hajambo.
Kwani unasafiri kila siku kwenda wapi?Kuna shangwe kuhusu tamko la serikali kuongeza mshahara 23.3% wakati ambao nauli ya bajaji na daladala na bajaji imepanda kutoka sh 500 hadi 800 sawa na 60%.
KaziniBajaji ya Kwenda wapi?
Kwenda kaziniKwani unasafiri kila siku kwenda wapi?
Nimedokeza tu
Kuna shangwe kuhusu tamko la serikali kuongeza mshahara 23.3% wakati ambao nauli ya bajaji na daladala na bajaji imepanda kutoka sh 500 hadi 800 sawa na 60%.
Kwa wilaya ya kahama bei usafiri wa bajaji imepanda kutoka 500 to 1000Bajaji ya Kwenda wapi?
Usikae mbali na kazini.Kazini
Poleni sana. Itashuka mafuta yatakaposhuka ila mshahara hautashuka.Kwa wilaya ya kahama bei usafiri wa bajaji imepanda kutoka 500 to 1000
Tanzania haijawahi kushuka bei ya kitu chochote ikishapanda.Nauli zikishuka na nyongeza za mishahara ztashushwa??Bei ya vitu inaweza ikapanda na ikashuka vile vile huwezi sema mishahara upande kwa kuangalia bei za vtu!Pato la serikali linapokuwa na mishahara huongezwa
Kwenda kazini.Kwani unasafiri kila siku kwenda wapi?
Sawa ila shida yako ni kumshabikia JPM sidhani kama unafikiri vizuri.Kuna shangwe kuhusu tamko la serikali kuongeza mshahara 23.3% wakati ambao nauli ya bajaji na daladala na bajaji imepanda kutoka sh 500 hadi 800 sawa na 60%.