Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Sio kweli...Tanzania haijawahi kushuka bei ya kitu chochote ikishapanda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli...Tanzania haijawahi kushuka bei ya kitu chochote ikishapanda.
Songea imepanda kutoka 500 mpaka 700Kwa wilaya ya kahama bei usafiri wa bajaji imepanda kutoka 500 to 1000
Lakini nauli mbona inatumika ya zamani?Kuna shangwe kuhusu tamko la serikali kuongeza mshahara 23.3% wakati ambao nauli ya bajaji na daladala na bajaji imepanda kutoka sh 500 hadi 800 sawa na 60%.
Kuna shangwe kuhusu tamko la serikali kuongeza mshahara 23.3% wakati ambao nauli ya bajaji na daladala na bajaji imepanda kutoka sh 500 hadi 800 sawa na 60%.
Wewe ni binadamu MUONGO.Tanzania haijawahi kushuka bei ya kitu chochote ikishapanda.
mafuta ya kura 100%Kuna shangwe kuhusu tamko la serikali kuongeza mshahara 23.3% wakati ambao nauli ya bajaji na daladala na bajaji imepanda kutoka sh 500 hadi 800 sawa na 60%.