Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kwa msiojua tu kijana amesajili miezi else kama ataendelea ama lah
Kwa msiojua tu kijana atakuwa akilipwa dola 9500 na sio 10" 000 wanavyosema
Akiongezewa na gari na sehwmu ya kuishi sijajua swala la mabibi kama nalo liko mkatabani pengine amepewa na bibi
Kinachohuzunisha hivisasa n kwamba kila mchezaji amejua mshahara wa huyu kijana wetu na kwa sasa
Ssc mjiandae vyema tu kama morrison atacheza mwenyewe uwanjani mtaelewa kwann mabeki mnawalipa laki nane ama milion ndio wanaoingarisha simba
Nawatakia kila la kheri na migogoroo mema haramu huliwa na haramu
Kwa msiojua tu kijana atakuwa akilipwa dola 9500 na sio 10" 000 wanavyosema
Akiongezewa na gari na sehwmu ya kuishi sijajua swala la mabibi kama nalo liko mkatabani pengine amepewa na bibi
Kinachohuzunisha hivisasa n kwamba kila mchezaji amejua mshahara wa huyu kijana wetu na kwa sasa
Ssc mjiandae vyema tu kama morrison atacheza mwenyewe uwanjani mtaelewa kwann mabeki mnawalipa laki nane ama milion ndio wanaoingarisha simba
Nawatakia kila la kheri na migogoroo mema haramu huliwa na haramu