Millifire69
Senior Member
- Jul 8, 2021
- 145
- 149
Hii ni kama mil2 kasoro, bado kuna posho, na serikalini mshahara hauwi constant, unapanda...Mshahara sio 1.3, ni 1824000 hii ni kwa mujibu wa viwango vya mishahara ya madaktari wenye bachelor's degree 2023/24
Salary scale ni 1 tu inayoandaliwa utumishiInategemea na mwajiri ni nanj .
Maana kuna wengine wanafanya chini ya Tamisemi.
Wengine wizara ya afya.
Wengine kwenye taasisi za kiserikali kila mmoja na mshahara wake japo kada ni moja.
Na unapoongelea Daktari.
Kuna MD
Kuna specialist.
Kuna Daktari bigwa .
Kuna Daktari mwandamizi.
Kuna kipindi nilikutafuta sana.....upo bongo au mamtoni?Sasa jamani unafanya kazi kwenye hospital inatibu wagonjwa 50 kwa siku, kila mgonjwa analipia elfu 20. Unataka kwa mwezi ulipwe Millioni 3 kweli?. Hizo hela za kukulipa hiyo pesa serikali inazitoa wapi.
Mwenzako anafanya kazi EWURA kama inspector, kila kwenye lita moja ya mafuta EWURA inachukua percent yake. Kila lita moja. Kwanini wasiwalipe wafanyakazi wao pesa ndefu?
Hapo nadhani alimaanisha specist(daktari bingwa) na super specialist ( daktari bingwa bobevu)Naomba kujua tofauti ya ulivyoandika hapa kuwa kuna
Specialist
Daktari Bingwa
Kumbe hawa ni Watu Wawili tofauti?
Ndio manadanganyana hivo? Huo 1.8 ni wa senior Medical officer, sio kibushuti anayeanza kazi. Anayeanza ni 1.5, na tuseme ukweli ata ingekuwa ni 2m bado kwa kazi hiyo ni utumwa tu.Mshahara sio 1.3, ni 1824000 hii ni kwa mujibu wa viwango vya mishahara ya madaktari wenye bachelor's degree 2023/24
Daktari wa malinyi (Tamisemi)Salary scale ni 1 tu inayoandaliwa utumishi
Mshahara sio 1.3, ni 1824000 hii ni kwa mujibu wa viwango vya mishahara ya madaktari wenye bachelor's degree 2023/24
jamani naombenn mnisaidie ktu 1 ,niende nikasome nn mimi mdogo wen am form four leaverNdo ngazi gani Tena hiiπ€£π€£π€£π
We unapenda nn?jamani naombenn mnisaidie ktu 1 ,niende nikasome nn mimi mdogo wen am form four leaver
phy A
chemA
bios A
mathA
geogA
eng A
na nna 1.7
πππππ
Engineering au medicine cheza hapo pcm au pcbWe unapenda nn?
Tuanzie hapo?
Kila mtu ana ndoto ya kuwa Fulani,kabla hatujakushauri ,
AiseeKatika kada inayoongoza kwa kulaumiwa na kuonewa ni afya. Sasa viongozi wa kada hiyo ni madaktari maana ndio moyo. Nataka kujua, wanalipwa kiasi gani mpaka wanaonewa kiasi hicho?
Tulinganishe na watumishi mfano wa WCF, NSSF, PSSSF, TRA, TISS bila roho mbaya wala husda, nani anafanya kazi ambayo atq bibi yako, wewe au ndugu yako popote alipo ni muhimu? Ni kweli mfanyakazi wa hapo DAWASA., anarisk kuliko daktari? Nipo Marekani, mimi ni epidemiologist japo sikufanya medicine, dhana ya udaktari ni wito haipo, wanapesa. Wanaheshimika sana.
Tanzania, wanatumia dhana ya wito kuwagandamiza ili wanapotaka kukaa sawa waonekane wana tamaa, hivi mtu aliepo pale TPA, anakula kiyoyozi, anatupia mafile, halaumiwi kwa lolote, ana mkopo wenye riba wanayojiwekea wenyewe, hajawahi kuamshwa usiku wala kurukiwa na damu ya mtu mwenye ebola au ukimwi ni wa kulipwa zaidi ya daktari? Dharau.
Tuna demand makubwa sana kutoka kwa hawa majamaa lakini kiukweli tunawaonea. Hii ni shida. Ila na wao vyombo vyao vinawasaliti kwakuwa viongozi wao wanalamba asali lakini sio sawa. Nilitamani kuwa daktari ila nashukuru niliona mbali. Yani kutoka kwao ni balaa hapo Tanzania. Inatia huruma, watu mpaka familia zinawasahau.
Ni janga Tanzania. Siasa inaleta dharau. Nikiuliza babu tale, individually amefanya nini leo au jana chenye impact kuliko mtu alietoa busha au kufanya operation, kweli? Kuna pahala hapako sawa. Na mkiendekeza siasa mtajua hamjui.