Mshahara wa Daktari ni kiasi gani?

Mshahara wa Daktari ni kiasi gani?

Unadhani kila mtu anawaza uchafu wenu wa salary slip?😂😂 Nikifanya trip moja tu ya kikazi namlipa MD wa kibongo, mshahara wa miezi 10 believe that , tena wa TGHSF ~1.8m sio E 1.5m
Tuwekee salary slip yako mwanetu
 
Unadhani kila mtu anawaza uchafu wenu wa salary slip?😂😂 Nikifanya trip moja tu ya kikazi namlipa MD wa kibongo, mshahara wa miezi 10 believe that , tena wa TGHSF ~1.8m sio E

Unadhani kila mtu anawaza uchafu wenu wa salary slip?😂😂 Nikifanya trip moja tu ya kikazi namlipa MD wa kibongo, mshahara wa miezi 10 believe that , tena wa TGHSF ~1.8m sio E 1.5m
Kazi gani hyo
 
Unadhani kila mtu anawaza uchafu wenu wa salary slip?😂😂 Nikifanya trip moja tu ya kikazi namlipa MD wa kibongo, mshahara wa miezi 10 believe that , tena wa TGHSF ~1.8m sio E 1.5m
Hizo mnalipana mkononi, weka bank statement. Huna maisha ww
 
Kama MD analipwa 1.5M
Basi kumbe nikiwa MC wa sherehe ntakua nakula hata 1M
 
Hizo mnalipana mkononi, weka bank statement. Huna maisha ww
We MD ndio una maisha?🤣🤣😂😂🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️ Bank statement yangu ni yangu kenge wewe, nikuwekee ili? Utapagawa dogo. Weka yako kwanza , I promise ntaweka yangu ila usiumie roho. Maskini wa bongo bana. Mnadhani masihara
 
We MD ndio una maisha?🤣🤣😂😂🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️ Bank statement yangu ni yangu kenge wewe, nikuwekee ili? Utapagawa dogo. Weka yako kwanza , I promise ntaweka yangu ila usiumie roho. Maskini wa bongo bana. Mnadhani masihara
Mimi sio MD, na wala sipo kwenye mambo ya afya. Ila wewe mwamba huna kitu mganga nja tuu...
 
Daktari anayeanza kazi basic ni TSH 1.3mil , take home 900+K...!!! Sema kuna viposho posho Kwa walio chini ya wizara ya Afya.... Maisha ni magumu Sana bado Kwa hawa watu, huwa wanakimbilia kwenye mikopo ya magar kuficha aibu...nazungumzia MD sio CO au tabibu
Umeandika uongo kwa kujiamini we jamas, daktari gani uyo ana basic ya 1.3m
 
MD serikalini ananza na TGTS E, daraja moja na wakili wa serikali, vetinary, mhasibu nk na hilo ni daraja moja juu kwa mwalimu kwani huanza na TGTS D
TGTS E, ni tofauti na TGHS E
 
Back
Top Bottom