Mshahara wa Daktari ni kiasi gani?

Mshahara wa Daktari ni kiasi gani?

TANESCO wanazalisha Megawatt za umeme wanatuizia kwa unit. Kwann wasilipane pesa nyingi. ATCL wanafanya biashara ya usafiri wa anga kwanini wasilipane fedha nyingi. Walimu na Madaktari hawawezi kulipwa fedha nyingi kwasababu they are not producing kama hao wengine. Watulie walipwe malipo yao ya wito.
Kwahyo mkuu unataka daktari nae aproduce mtu aache wagonjwa wafe au unamaana gan huyo mtu wa anga na tanesco akiumwa si anatibiwa na daktar ambae unaona hazalishi??
 
Walimu walianzia mbali kudharauliwa kwa watu kuchunguza mishahara yao na maisha yao .

Sasa mkuu paqwa kuanzia leo ikitokea tukadharauliwa mahali popote sitasita kukukumbuka kwa ubaya huu uliouanzisha ila pia sitasita kuzijuza Pannel muanzilishi wa madhira hayo .

Alafu mdogo wangu Mamndenyi hizi kazi bila pombe wewe kuweza ?
 
Walimu walianzia mbali kudharauliwa kwa watu kuchunguza mishahara yao na maisha yao .

Sasa mkuu paqwa kuanzia leo ikitokea tukadharauliwa mahali popote sitasita kukukumbuka kwa ubaya huu uliouanzisha ila pia sitasita kuzijuza Pannel muanzilishi wa madhira hayo .

Alafu mdogo wangu Mamndenyi hizi kazi bila pombe wewe kuweza ?
Pole ndio maisha, msiridhike, amkeni mpewe heshima mnayostahili. Lazima tuwadharau maana mpo comfortable na umaskini. Mna majina makubwa lakini mifuko mitupu. Shame, mnazidiwa ata na kina baba levo na mwijaku. Mjitafakari mmekosea wapi. Serikali yenu
 
Jana nimeona mtu anapost anataka mtoa huduma ya dawa na atamlipa lak1.2,mimi ni assistant dental doctor nakula 8.5private bila makato bado siridhiki natamani niruke japo botswana..japo kuna brother mmja rafiki yangu yupo australia ananisihi sana niongeze elimu ila kila nikifikiria miaka mi5 elimu yenyewe ya kubangaiza naona jau. anadai watu wa afya wanathaminiwa mno kwenye mataifa ya wenzetu na uraia nje nje.....
Shwaaaaaaaaaaaaaaa....
Dental ina helaa kwa sasa ndo Faculty iliyobakia kuwa na sokoo...!! Ulishtuka mapemaa mkuu hongeraa snaaa...
 
Mshahara unatokana na kile unachokizalisha hao madaktari wanazalisha nini mpaka waongezewe
Manager madaktari wanazalisha watoto, wanazalisha matumaini na kuhakikisha wanatoa elimu juu ya kuzuia magonjwa mbali mbali

Hatuombei.... ila siku mvua ikikunyeshea utajua umuhimu wa mwamvuli.
 
Manager madaktari wanazalisha watoto, wanazalisha matumaini na kuhakikisha wanatoa elimu juu ya kuzuia magonjwa mbali mbali

Hatuombei.... ila siku mvua ikikunyeshea utajua umuhimu wa mwamvuli.
Ni kweli boss, ila mimi nimeongelea kibiashara boss. Chukulia mfano mtu anzalisha tani 3 za dhahbu kwa mwezi. Mwingine anazalisha lita mapipa 100 ya bia kwa mwezi. Chukulia mwingine anazalisha tani 200 zza mbolea kwa mwezi. Chukulia mwingine anazalisha million 500 kwa mwezi. Maelezo yangu yamelenga hapo. Hata kama tukisema tumwonee huruma huyu daktari kwa ukubwa wa kazi anayofanya lakini bado tutahitaji budget. Budget inatoka kwenye kile ulichoingiza.
 
Ni kweli boss, ila mimi nimeongelea kibiashara boss. Chukulia mfano mtu anzalisha tani 3 za dhahbu kwa mwezi. Mwingine anazalisha lita mapipa 100 ya bia kwa mwezi. Chukulia mwingine anazalisha tani 200 zza mbolea kwa mwezi. Chukulia mwingine anazalisha million 500 kwa mwezi. Maelezo yangu yamelenga hapo. Hata kama tukisema tumwonee huruma huyu daktari kwa ukubwa wa kazi anayofanya lakini bado tutahitaji budget. Budget inatoka kwenye kile ulichoingiza.
Hazalishi ila anapambana wewe uwe safi uzalishe indirectly analinda nguvu kazi. Kwani mkurugenzi wa nssf anazalisha nini?
 
Ni kweli boss, ila mimi nimeongelea kibiashara boss. Chukulia mfano mtu anzalisha tani 3 za dhahbu kwa mwezi. Mwingine anazalisha lita mapipa 100 ya bia kwa mwezi. Chukulia mwingine anazalisha tani 200 zza mbolea kwa mwezi. Chukulia mwingine anazalisha million 500 kwa mwezi. Maelezo yangu yamelenga hapo. Hata kama tukisema tumwonee huruma huyu daktari kwa ukubwa wa kazi anayofanya lakini bado tutahitaji budget. Budget inatoka kwenye kile ulichoingiza.
Ni kweli ila kulingana na mfano ulio utoa maana yake ni kua kila taasisi ilipe watumishi wake kulingana na kile wanacho kizalisha

Ila kwa mifumo ya afya huwezi kufanya yote hayo pekeyako na gharama za uendeshaji ni kubwa sana maana hii ni huduma sio biashara sabab hapa wana sell hope etc ambacho kuna wakati hata pesa yako iwe nyingi kiasi gani unaweza usiipate pia
 
Hazalishi ila anapambana wewe uwe safi uzalishe indirectly analinda nguvu kazi. Kwani mkurugenzi wa nssf anazalisha nini?
Hao wote anao waona wa muhimu wamepita katika mikono ya daktari na akahakikisha wamepata chanjo zote n.k
 
Ni kweli ila kulingana na mfano ulio utoa maana yake ni kua kila taasisi ilipe watumishi wake kulingana na kile wanacho kizalisha

Ila kwa mifumo ya afya huwezi kufanya yote hayo pekeyako na gharama za uendeshaji ni kubwa sana maana hii ni huduma sio biashara sabab hapa wana sell hope etc ambacho kuna wakati hata pesa yako iwe nyingi kiasi gani unaweza usiipate pia
Ni kweli boss
 
Hili jukwaa naona kadili siku zinavyozidi kwenda linapoteza umaarufu wake na sababu kubwa ni watu kutanguliza masihara, Mtu anapouliza jambo tunatarajia tupate majibu sahihii na sio kubahatisha kama hujui kuwa msomaji tu. Tuache utoto wa shuleni au chuoni hebu tukuwe na tuwe wastaarabu
 
Hili jukwaa naona kadili siku zinavyozidi kwenda linapoteza umaarufu wake na sababu kubwa ni watu kutanguliza masihara, Mtu anapouliza jambo tunatarajia tupate majibu sahihii na sio kubahatisha kama hujui kuwa msomaji tu. Tuache utoto wa shuleni au chuoni hebu tukuwe na tuwe wastaarabu
 
Ni kweli boss, ila mimi nimeongelea kibiashara boss. Chukulia mfano mtu anzalisha tani 3 za dhahbu kwa mwezi. Mwingine anazalisha lita mapipa 100 ya bia kwa mwezi. Chukulia mwingine anazalisha tani 200 zza mbolea kwa mwezi. Chukulia mwingine anazalisha million 500 kwa mwezi. Maelezo yangu yamelenga hapo. Hata kama tukisema tumwonee huruma huyu daktari kwa ukubwa wa kazi anayofanya lakini bado tutahitaji budget. Budget inatoka kwenye kile ulichoingiza.
Ili hao wote waendelee kuzalisha na wawe na ufanisi katika kazi zao, inabidi wawe na Afya njema kimwili na kiakili.

Wakikwama kwenye hayo mambo lazima wakimbilie kwa Daktari wakawekwe sawa.

Hadi hapo bado unaona thamani ya Daktari ni ndogo?
 
Back
Top Bottom