Ukimaliza kujibizana na
Meneja Wa Makampuni njoo pembeni ili tuone kama nitaweza kukupa salary slip zangu za mshahara , punde sijatoka ofisini , nahisi kuna jambo utanishauri au utaniheshimu wewe ili wengine wafuate .
Note : sio kila daktari anakula mshahara tu wa serikali akili yake ndiyo inaweza determine mwisho wa mwezi awe na scale gani ?
Huwezi nielewa rafiki
paqwa tuachane na hayo ?
Vipi laikini umepima afya yako au una utaratibu wa kupima mara kwa mara afya yako ? Maana sasa hivi afya haziimariki kabisa rafiki yangu [emoji16]
Karibu nyumbani