Mshahara wa Daktari ni kiasi gani?

Mshahara wa Daktari ni kiasi gani?

Sasa jamani unafanya kazi kwenye hospital inatibu wagonjwa 50 kwa siku, kila mgonjwa analipia elfu 20. Unataka kwa mwezi ulipwe Millioni 3 kweli?. Hizo hela za kukulipa hiyo pesa serikali inazitoa wapi.

Mwenzako anafanya kazi EWURA kama inspector, kila kwenye lita moja ya mafuta EWURA inachukua percent yake. Kila lita moja. Kwanini wasiwalipe wafanyakazi wao pesa ndefu?
Natamani siku moja Serikali ifute kabisa Posho badala yake Izihamishie zooote kwenye Mishahara
watu walipwe mishahara yenye uhalisia na sio kiini macho
Hivi kuna haja gani umlipe mtu mshahara wa laki 8 na 50, halafu mwisho mwezi Umpatie Milioni mbili?
Kwanza mfanyakazi anakosa PSSF, Lakini pia Serikali Kuonekana inalipa Kidogo wakati ukweli ni kuwa inalipa mishara Mizuri.
Huko Private Sector hakuna maposho ya kujiachia na ndio sababu mishahara huonekana ni Mikubwa
 
Iko hv huyo Dogo Police ana professional yoyote level ya Degree kuanzia? Kama ni Form 4 leaver tu unadanganywa bado pakubwa ukijumlisha Salary+Posho ya mwezi na hata ukijumlisha allowance ya pango na packages hawezi kumfikia Daktree wa Tamisemi tu huo ndio ukweli ila kama Dogo ni Degree holder regardless kuwa ni Constable hapo nakiri atamzidi!!

Police degree holder.. anaanza na nyota moja. mshahara wake plus posho yake ya chakula inamfanya awe na kipato kikubwa kuliko daktari mwenye degree mwisho wa kila mwezi.

Hapo hujaweka pesa za pembeni.. maana polisi ana fursa ya kupata pesa ya pembeni kuliko daktari
 
Sasa jamani unafanya kazi kwenye hospital inatibu wagonjwa 50 kwa siku, kila mgonjwa analipia elfu 20. Unataka kwa mwezi ulipwe Millioni 3 kweli?. Hizo hela za kukulipa hiyo pesa serikali inazitoa wapi.

Mwenzako anafanya kazi EWURA kama inspector, kila kwenye lita moja ya mafuta EWURA inachukua percent yake. Kila lita moja. Kwanini wasiwalipe wafanyakazi wao pesa ndefu?
Hoja ya kipumbavu kabisa, siku akiamua kutotibu hao wagonjwa 50 kwa siku na yeye akafanye inspection ya mafuta patakalika hapa. Mbona wakigoma kufanya kazi nusu saa tu makelele kila kona.......umewahi hata kufikiria siku unaumwa jino umkute daktari kaenda kupiga mishe nyingine za kutafuta mshiko zaidi ili naye awe kama inspector wa EWURA, acheni mizaha kwenye mambo ya msingi....​
 
Police degree holder.. anaanza na nyota moja. mshahara wake plus posho yake ya chakula inamfanya awe na kipato kikubwa kuliko daktari mwenye degree mwisho wa kila mwezi.

Hapo hujaweka pesa za pembeni.. maana polisi ana fursa ya kupata pesa ya pembeni kuliko daktari
Ndio sh ngp hio Mshahara + Posho
 
Katika kada inayoongoza kwa kulaumiwa na kuonewa ni afya. Sasa viongozi wa kada hiyo ni madaktari maana ndio moyo. Nataka kujua, wanalipwa kiasi gani mpaka wanaonewa kiasi hicho?

Tulinganishe na watumishi mfano wa WCF, NSSF, PSSSF, TRA, TISS bila roho mbaya wala husda, nani anafanya kazi ambayo ara bibi yako, wewe au ndugu yako popote alipo ni muhimu? Ni kweli mfanyakazi wa hapo DAWASA., anarisk kuliko daktari? Nipo Marekani, mimi ni epidemiologist japo sikufanya medicine, dhana ya udaktari ni wito haipo, wanapesa. Wanaheshimika.

Tanzania, wanatumia dhana ya wito kuwagandamiza ili wanapotaka kukaa sawa waonekane wana tamaa, hivi mtu aliepo pale TPA, anakula kiyoyozi, anatupia mafile, halaumiwi kwa lolote, ana mkopo wenye riba wanayojiwekea wenyewe, hajawahi kuamshwa usiku wala kurukiwa na damu ya mtu mwenye ebola au ukimwi ni wa kulipwa zaidi ya daktari? Dharau.

Tuna demand makubwa sana kutoka kwa hawa majamaa lakini kiukweli tunawaonea. Hii ni shida. Ila na wao vyombo vyao vinawasaliti kwakuwa viongozi wao wanalamba asali lakini sio sawa. Nilitamani kuwa daktari ila nashukuru niliona mbali.

Ni janga Tanzania. Siasa inaleta dharau. Nikiuliza babu tale, individually amefanya nini leo au jana chenye impact kuliko mtu alietoa busha au kufanya operation, kweli? Kuna pahala hapako sawa. Na mkiendekeza siasa mtajua hamjui.
Unazungumzia daktari yupi?
Maana huku mikoani wamejaa matabibu ama lliniko ofisaz kama wote ila nao wakifika kwa wanakijiji wanajiturumua kwa kujiita madaktari.

Labda tumuulize dk Year maana nayeye ni kama hao
 
Daktari anayeanza kazi basic ni TSH 1.3mil , take home 900+K...!!! Sema kuna viposho posho Kwa walio chini ya wizara ya Afya.... Maisha ni magumu Sana bado Kwa hawa watu, huwa wanakimbilia kwenye mikopo ya magar kuficha aibu...nazungumzia MD sio CO au tabibu
Ukikuta co amejitutumua na mamikoti na mamiwani utadhani ana phd ya udaltari kumbe form 4 tu
 
Police degree holder.. anaanza na nyota moja. mshahara wake plus posho yake ya chakula inamfanya awe na kipato kikubwa kuliko daktari mwenye degree mwisho wa kila mwezi.

Hapo hujaweka pesa za pembeni.. maana polisi ana fursa ya kupata pesa ya pembeni kuliko daktari
Hilo natambua mkuu!!! Na sikuhizi sio lazima uanze na hilo jiwe mshahara unabadilishwa kulingana na level ya elimu yako kwanz
 
Hoja ya kipumbavu kabisa, siku akiamua kutotibu hao wagonjwa 50 kwa siku na yeye akafanye inspection ya mafuta patakalika hapa. Mbona wakigoma kufanya kazi nusu saa tu makelele kila kona.......umewahi hata kufikiria siku unaumwa jino umkute daktari kaenda kupiga mishe nyingine za kutafuta mshiko zaidi ili naye awe kama inspector wa EWURA, acheni mizaha kwenye mambo ya msingi....​
EWURA ndio moyo wa uchumi wa hili taifa.
 
Police degree holder.. anaanza na nyota moja. mshahara wake plus posho yake ya chakula inamfanya awe na kipato kikubwa kuliko daktari mwenye degree mwisho wa kila mwezi.

Hapo hujaweka pesa za pembeni.. maana polisi ana fursa ya kupata pesa ya pembeni kuliko daktari
Ndg police degree holder hawez kumfikia dr pamoja akijumlisha na posho yake ya mwezi..mishahara Yao ni kawaida tu mbna
 
IMG-20230208-WA0007.jpg
 
Back
Top Bottom