We bwege muongo. Unaishi Chicago hata kuspel Pennsylvania hujui. Wewe Ni mchoma chapati tu hapa Kariakoo.Huku Chicago (penslinavia).
Phlebotomist (mdunga sindano) analipwa USD32/ day na miposho mingi.
Hapo Tanzania mnakwama wapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We bwege muongo. Unaishi Chicago hata kuspel Pennsylvania hujui. Wewe Ni mchoma chapati tu hapa Kariakoo.Huku Chicago (penslinavia).
Phlebotomist (mdunga sindano) analipwa USD32/ day na miposho mingi.
Hapo Tanzania mnakwama wapi.
Unamshauri nani?
Na
Na walimu walipwe shngapi??
Hio ni hela ameingiza daktari, Kuna source nyengine za hela, daktari akimuandikia mtu dawa Ile faida inaingia hospital, vipimo ni faida ya Hospital pia.Kwani hospital ina mfanyakazi mmoja tu kumbuka kuna wafanyakazi wengine, gharama za bills, kodi etc then faida ipatikane pia.
EWURA ni Hela ya serikali wale ni wasimamizi tu, mfanyabiashara anatoa hela kwa sababu analipia serikali ili apate maendeleoHapo nilitoa mfano wa hospital ndogo boss. Embu jaribu kulinganisha na EWURA anayechukua percent kwenye kila lita ya mafuta.
Unataka kujua wanazalisha nini Well nikupe tu mfano mdogo BMC kwa mwezi wanaingiza karibia 3B!!Mshahara unatokana na kile unachokizalisha hao madaktari wanazalisha nini mpaka waongezewe
MD hatumii hiyo scale mkuu!!md serikalini ananza na TGTS E, daraja moja na wakili wa serikali, vetinary, mhasibu nk na hilo ni daraja moja juu kwa mwalimu kwani huanza na TGTS D
😂😂😂😂😂😂😂😂acha utaniEWURA ni Hela ya serikali wale ni wasimamizi tu, mfanyabiashara anatoa hela kwa sababu analipia serikali ili apate maendeleo
Kwa Daktari watu wanalipia ili wapate ule ujuzi wake.
Wahapo watakua wanalipwa zaidi lkn sio hapa kwetu MtwaraUnataka kujua wanazalisha nini Well nikupe tu mfano mdogo BMC kwa mwezi wanaingiza karibia 3B!!
Bado unataka kujua kingine!?
Si angesema PA tu🤣🤣🤣🤣We bwege muongo. Unaishi Chicago hata kuspel Pennsylvania hujui. Wewe Ni mchoma chapati tu hapa Kariakoo.
wote wa muhimu kwa kilicho anza ni dakitari kabla ya mwalimuHivi daktari na mwalimu Nani ni zaidi?
No, pesa hyo wanapewa WafamasiaTGHS E. Sawa na 1.5M basic bila makato. Apo sio wale wanaofanya kwenye hosptal zinazoniendesha kama taasisi.
Ulishawahi kufanya biashara mkuu?Unadhani lingekuwa shirika binafsi linapata hasara lingeendelea au lingefungwa!?
Hiyo hela wanayojilipa inatoka kwa shirika au walipa kodi!?
Wewe unaweza kutoa hela ya nyumbani kwako umlipe muuza duka/ mfanyakazi wako
mamilioni wakati duka linapata hasara!?
Sio lazima ucomment kama huelewi mambo true capitalist
Hujui lolote kuhusu corporate world.Wewe ni mbulula ushawahi kuona kampuni ya private inajiendesha kwa hasara
kwa miaka na mikaka lakini bado inalipa wafanya kazi wake mamilioni !?
Kasome vizuri mambo ya true capitalist hicho unachokiongelea kampuni kupata
hasara na watu kuendelea kujilipa mishahara mikubwa nakijua Bureaucratic capitalist.
https://internationalviewpoint.org/spip.php?article2805
17 millUSD 705.
Wafamasia ni TGHS D mkuu 1.27MNo, pesa hyo wanapewa Wafamasia
Kwamba watu 50 watoe elfu 20 kama consultation fee pekee bado vipimo.Hio ni hela ameingiza daktari, Kuna source nyengine za hela, daktari akimuandikia mtu dawa Ile faida inaingia hospital, vipimo ni faida ya Hospital pia.
EWURA ni Hela ya serikali wale ni wasimamizi tu, mfanyabiashara anatoa hela kwa sababu analipia serikali ili apate maendeleo
Kwa Daktari watu wanalipia ili wapate ule ujuzi wake.