Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
Bado hajakatwa Loan boardDaktari anayeanza kazi basic ni TSH 1.3mil , take home 900+K...!!! Sema kuna viposho posho Kwa walio chini ya wizara ya Afya.... Maisha ni magumu Sana bado Kwa hawa watu, huwa wanakimbilia kwenye mikopo ya magar kuficha aibu...nazungumzia MD sio CEO au tabibu