Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko Petroleum Engineer analipwa sh ngapi kwa siku?Huku Chicago (penslinavia).
Phlebotomist (mdunga sindano) analipwa USD32/ day na miposho mingi.
Hapo Tanzania mnakwama wapi.
Hiyo ni uongoooooMD aliyemaliza miaka mitano plus mmoja wa internship hamzidi polisi div 4 au ziro aliyekwenda CCP miezi 9.
Kumbuka MD alipitia form 5/6 baada ya kupasua fomfoo.
185,000 USD ongeza na benefitsHuko Petroleum Engineer analipwa sh ngapi kwa siku?
Hawa petroleum chemist/engineers wanapata USD74 - USD96/day.Huko Petroleum Engineer analipwa sh ngapi kwa siku?
MD aliyemaliza miaka mitano plus mmoja wa internship hamzidi polisi div 4 au ziro aliyekwenda CCP miezi 9.
Kumbuka MD alipitia form 5/6 baada ya kupasua fomfoo.
Pesa ndefu sanaHawa petroleum chemist/engineers wanapata USD74 - USD96/day.
Iko hv huyo Dogo Police ana professional yoyote level ya Degree kuanzia? Kama ni Form 4 leaver tu unadanganywa bado pakubwa ukijumlisha Salary+Posho ya mwezi na hata ukijumlisha allowance ya pango na packages hawezi kumfikia Daktree wa Tamisemi tu huo ndio ukweli ila kama Dogo ni Degree holder regardless kuwa ni Constable hapo nakiri atamzidi!!Nina mtoto Ni policcm na binti takitari.
Na walimu walipwe shngapi??Nashauri madaktari walipwe kwanzia m3 kwendelea
Ima uwaulize madaktari au uusomee udakatari. Je hii inakusaidia na kutusaidia nini?Katika kada inayoongoza kwa kulaumiwa na kuonewa ni afya. Sasa viongozi wa kada hiyo ni madaktari maana ndio moyo. Nataka kujua, wanalipwa kiasi gani mpaka wanaonewa kiasi hicho?
Tulinganishe na watumishi mfano wa WCF, NSSF, PSSSF, TRA, TISS bila roho mbaya wala husda, nani anafanya kazi ambayo ara bibi yako, wewe au ndugu yako popote alipo ni muhimu? Ni kweli mfanyakazi wa hapo DAWASA., anarisk kuliko daktari? Nipo Marekani, mimi ni epidemiologist japo sikufanya medicine, dhana ya udaktari ni wito haipo, wanapesa. Wanaheshimika.
Tanzania, wanatumia dhana ya wito kuwagandamiza ili wanapotaka kukaa sawa waonekane wana tamaa, hivi mtu aliepo pale TPA, anakula kiyoyozi, anatupia mafile, halaumiwi kwa lolote, ana mkopo wenye riba wanayojiwekea wenyewe, hajawahi kuamshwa usiku wala kurukiwa na damu ya mtu mwenye ebola au ukimwi ni wa kulipwa zaidi ya daktari? Dharau.
Tuna demand makubwa sana kutoka kwa hawa majamaa lakini kiukweli tunawaonea. Hii ni shida. Ila na wao vyombo vyao vinawasaliti kwakuwa viongozi wao wanalamba asali lakini sio sawa. Nilitamani kuwa daktari ila nashukuru niliona mbali.
Ni janga Tanzania. Siasa inaleta dharau. Nikiuliza babu tale, individually amefanya nini leo au jana chenye impact kuliko mtu alietoa busha au kufanya operation, kweli? Kuna pahala hapako sawa. Na mkiendekeza siasa mtajua hamjui.
Kama hujaelewa mantiki yake ujue huna akili. Kama haikusaidii pita mbali.Ima uwaulize madaktari au uusomee udakatari. Je hii inakusaidia na kutusaidia nini?
We ndo huna akili na kama unazo za kushikiwa. Hujui kuwa hii haina faida hata kwa inzi!?Kama hujaelewa mantiki yake ujue huna akili. Kama haikusaidii pita mbali.
Daktari mwalimu wakazi gani tutasoma googleHivi daktari na mwalimu Nani ni zaidi?
Mbona ndogo? Si hiyo watu wanalipwa kwa saa huko.Huku Chicago (penslinavia).
Phlebotomist (mdunga sindano) analipwa USD32/ day na miposho mingi.
Hapo Tanzania mnakwama wapi.
Watu tunataka wanaofanya kazi kweli, waheshimiwe au na we ni desk officer pahala unaenjoy semina na mshahara bila jasho? Watu wanajitoa, usiku umelala wanakesha, wanamwagikiwa damu za ukimwi, ebola ikija wanaanza kufa wao unataka tusihoji? Mbwa mwitu kweliWe ndo huna akili na kama unazo za kushikiwa. Hujui kuwa hii haina faida hata kwa inzi!?