Mshahara wa Daktari ni kiasi gani?

Mshahara wa Daktari ni kiasi gani?

Hiyo kozi kweli sio poa. Kuna dogo wangu mmoja hadi namwonea huruma anavyohangaika. Six alipiga one ya 7
Never undermine human stupidity,
Uko Tanzania hii hii na hujui TANESCO na ATCL ni makampuni yanayojiendesha kwa hasara
kwa mda mrefu, na wafanyakazi wake wanalipwa kodi zetu na sio faida ambayo
hawajawahi kutengeneza!?
Sitashangaa na wewe una MBA na kujipa jina ambalo nikinyme chako yaani ulitakiwa
kujiita muuaji wa makampuni kama madelu muuaji wa uchumi.
Kuhusu Kiombo waulize waliosoma nae au alio wafundisha hajawahi kushindwa swali la physics
na vitabu vyake wanao nunua wengi huishia kusolve mifano
Petroleum na hayo aliyokua anayasolve ni vitu viwili tofauti boss. Labda angesoma Electrical au Telecommunication ndio angeweza kukutana na hizo physics za five na six. But petroleum anaanza kujifunza kama mtoto.
 
Meneja wa uuaji wa makampuni aingie partnership na huyo mdogo wako wapige hela
Huyo meneja mpuuze ana stress. Kuna uzi wake tulimkosoa alipost mfano wa barua ya kuomba kazi... ile barua ilikuwa ya hovyo. Ana uzi mwingine anaodai kwamba anataka kusimamisha masomo yake ya Phd akagombee ubunge huko kwao huku akiwa hajui mambo mengi ya hilo jimbo. Ana nyuzi nyingi ukizisoma utagundua Meneja ana stress.
 
Petroleum na hayo aliyokua anayasolve ni vitu viwili tofauti boss. Labda angesoma Electrical au Telecommunication ndio angeweza kukutana na hizo physics za five na six. But petroleum anaanza kujifunza kama mtoto.
Mkuu humjui Kiombo kuna-presentation alifanya peke yake darasa zima limeshindwa.
Ndio maana alikuwa anasema wa kwanza Mungu, wa pili mzungu wa tatu ni yeye
kwa wenye akili
 
Huyo meneja mpuuze ana stress. Kuna uzi wake tulimkosoa alipost mfano wa barua ya kuomba kazi... ile barua ilikuwa ya hovyo. Ana uzi mwingine anaodai kwamba anataka kusimamisha masomo yake ya Phd akagombee ubunge huko kwao huku akiwa hajui mambo mengi ya hilo jimbo. Ana nyuzi nyingi ukizisoma utagundua Meneja ana stress.
😂😂😂😂😂Boss huwezi kunielewa Mimi. Kuandika nyuzi ni kazi yangu ya kwanza hapa duniani boss. Hapa natamani kudondosha uzi mwingine sema muda ni changamoto.
 
Huyo meneja mpuuze ana stress. Kuna uzi wake tulimkosoa alipost mfano wa barua ya kuomba kazi... ile barua ilikuwa ya hovyo. Ana uzi mwingine anaodai kwamba anataka kusimamisha masomo yake ya Phd akagombee ubunge huko kwao huku akiwa hajui mambo mengi ya hilo jimbo. Ana nyuzi nyingi ukizisoma utagundua Meneja ana stress.
Na kuhusu masomo nilisha simamisha boss. Nina mambo mengi ya kuyakamilisha hapa nchini kabla sijaenda kumalizia hiyo elimu. Likiwemo hilo la ubunge 2025 napeperusha bendera.😂😂😂😂Alafu useme kazi hazipo kugombea tu unaogopa na kugombea ni bure. Kuchukua form nako unaogopa.
 
Hakuna noma jomba. Cha muhimu usivunje tu sheria za Mungu na za jamhuri. Kama ni stress kila mtu anazo.
Sijawahi kuwa na stress. Hili ni jukwaa la kuandika kama huwezi kuandika maana yake huna cha kuandika. Hatupo humu kusemana wala kupima emotions za mtu. Hizo ni dalili mbaya katika maisha kwa mtu mzima na msomi. Kama uzi unasoma hujauelewa unaachana nao na kufungua mwingine. But usiwachunguze watu, jifunze zaidi hapa ni mahali kujifunza sio kubishabisha.
 
Sasa jamani unafanya kazi kwenye hospital inatibu wagonjwa 50 kwa siku, kila mgonjwa analipia elfu 20. Unataka kwa mwezi ulipwe Millioni 3 kweli?. Hizo hela za kukulipa hiyo pesa serikali inazitoa wapi.

Mwenzako anafanya kazi EWURA kama inspector, kila kwenye lita moja ya mafuta EWURA inachukua percent yake. Kila lita moja. Kwanini wasiwalipe wafanyakazi wao pesa ndefu?
Kwahyo wote tuende kuwa maafsa TRA au mainspector wa uwura na masupavaiza na mameneja Tanesco kwasababu shabaha ni pesa?

Je nchi itakuwa na taswira gani kwenye soko la ajira? Noo nchi haiendeshwi hvyo! Hatutengenezi usawa bali matabaka.

Resources za umma na mgawanyo lazima uzingatie umuhimu wa kila sekta kwa kuzingatia uwiano wa 1:2

Wakiacha kufanya kazi hawa mtakufa nyinyi acheni dharau.
 
Inategemea na mwajiri ni nanj .

Maana kuna wengine wanafanya chini ya Tamisemi.

Wengine wizara ya afya.

Wengine kwenye taasisi za kiserikali kila mmoja na mshahara wake japo kada ni moja.

Na unapoongelea Daktari.

Kuna MD
Kuna specialist.
Kuna Daktari bigwa .
Kuna Daktari mwandamizi.
Specialist na Bingwa Wana tofauti ipi Mkuu??
 
Nashauri madaktari walipwe kwanzia m3 kwendelea
Kwani wanaingiza sh ngapi au ni watumiaji kama watumiaji wengine?

Watu wanalipwa kutokana na productivity yao hii ndio kanuni ya uchumi, ndio maana madaktari wa local government wanalamba malaki kwenye international organizations au corporate wanalamba millions.
 
Watu tunataka wanaofanya kazi kweli, waheshimiwe au na we ni desk officer pahala unaenjoy semina na mshahara bila jasho? Watu wanajitoa, usiku umelala wanakesha, wanamwagikiwa damu za ukimwi, ebola ikija wanaanza kufa wao unataka tusihoji? Mbwa mwitu kweli
Kwani kazi za risk ni za afya pekee?

Watu wa afya mnajikutaga spesho sana.
 
Back
Top Bottom