MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Unafanya KAZI TAMISEMI.Inategemea na mwajiri ni nanj .
Maana kuna wengine wanafanya chini ya Tamisemi.
Wengine wizara ya afya.
Wengine kwenye taasisi za kiserikali kila mmoja na mshahara wake japo kada ni moja.
Na unapoongelea Daktari.
Kuna MD
Kuna specialist.
Kuna Daktari bigwa .
Kuna Daktari mwandamizi.
Unafanya KAZI WIZARA YA AFYA.
Mshahara ni ULE ULE.