Mshahara wa Daktari ni kiasi gani?

Daktari anayeanza kazi basic ni TSH 1.3mil , take home 900+K...!!! Sema kuna viposho posho Kwa walio chini ya wizara ya Afya.... Maisha ni magumu Sana bado Kwa hawa watu, huwa wanakimbilia kwenye mikopo ya magar kuficha aibu...nazungumzia MD sio CO au tabibu
 
Nina mtoto Ni policcm na binti takitari.
Iko hv huyo Dogo Police ana professional yoyote level ya Degree kuanzia? Kama ni Form 4 leaver tu unadanganywa bado pakubwa ukijumlisha Salary+Posho ya mwezi na hata ukijumlisha allowance ya pango na packages hawezi kumfikia Daktree wa Tamisemi tu huo ndio ukweli ila kama Dogo ni Degree holder regardless kuwa ni Constable hapo nakiri atamzidi!!
 
Ima uwaulize madaktari au uusomee udakatari. Je hii inakusaidia na kutusaidia nini?
 
We ndo huna akili na kama unazo za kushikiwa. Hujui kuwa hii haina faida hata kwa inzi!?
Watu tunataka wanaofanya kazi kweli, waheshimiwe au na we ni desk officer pahala unaenjoy semina na mshahara bila jasho? Watu wanajitoa, usiku umelala wanakesha, wanamwagikiwa damu za ukimwi, ebola ikija wanaanza kufa wao unataka tusihoji? Mbwa mwitu kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…