Mshahara wa Dhambi; Nimepata ndoa lakini mtoto wangu akageuka mlemavu!

Hii mbona kama script ya movie ya Ki Nigeria?
 
Watu wengi wamekuwa wachawi bila ya wao kujua.
Siku ukifika kanisa lenye nguvu ya Mungu ndipo mapepo ya uchawi yatakupagaa na kuongea
 
Wanawake ni wajinga sana!

Kuna mwingine aliamua kumnyima mumewe unyumba kisa mama mkwe alienda pale kwao!

Yule mama akaondoka na hamu ya jamaa kwa huyo mkewe ikakata hadi leo Hana mpango nae!!!

Damu ni nzito kuliko maji!
Yaani hawa viumbe sijui shida ni nini aisee
 
huu ndiyo ubaya wa kuoa kwenye familia yenye asili ya umalaya halafu vichwa panzi, si mama si mtoto tabia zenu zinafanana na sasa ni wakati sahihi wa kulinywa jambo mlilolikoroga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…