Mshahara wa Dhambi; Nimepata ndoa lakini mtoto wangu akageuka mlemavu!

Mama ako ana mume?
 
That's the power of Karma!
Karma is real!!

What goes around...comes back around!

Halafu kuna ng'ombe huwa zinakaza fuvu!... Eti Mungu Hayupo!

Pigwa tukio la namna hii... Ndio utajua..hujui!?

Be good to all the people, chuki,tamaa ni mapito... Bado kuna safari mbele...baada ya leo!
 
My Condolences to the young guy he didn't derseve to pay the price of her mother's envy and her father's wickedness.
 
Its cold tea🍡🍡🍡🍡🍡🍡🍡
 
Huu upumbavu na umbea wenu wa kwenye salon zenu msiwe mnatuletea huku.
 
Hayo ndo matokeo ya mama kasema,mama kaniambia.....kipi kinakushangaza hapo.

Hakika umevuna ulichokipanda muda haudanganyiπŸƒβ€β™€οΈ.
 
Karma is bitch...!!!
 
Shukuru mungu huyo dada aliyeondoka angukuwa mchawi ww na mama yako chizi mngelogwa na kuwa vichaa 2. Huyo huyo dada angekuwa mtoto wa town angekuwa kashakusukia ramani chafu ambayo ungejutia milele na hapo unakuja kuachwa soon omba msamha utembee na mkono wa MUNGU
 
Ka
Karma haipotei njia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…